Infographics

Sh Bil 61.5 zatengwa barabara za mikoa

DODOMA; SERIKALI imesema kiasi cha Sh Bil.61.5 kimetengwa kwa ajili ya barabara za mikoa na madaraja katika mikoa yote 26…

Soma Zaidi »

Silaa afunga ofisi ya masijala ya Ardhi Dodoma

DODOMA: Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi ,Jerry Silaa amefunga Masijala ya Ardhi ya Jiji la Dodoma ikiwa…

Soma Zaidi »

Km 497 zimeathiriwa na mvua Dar

DAR ES  SALAAM: MENEJA wa Tarura Mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi Geofrey Mkinga amesema kilometa 497 mkoani humo zimeathiriwa…

Soma Zaidi »

Kanuni uchaguzi Naibu Meya, Naibu Wenyeviti zahojiwa

DODOMA. SERIKALI imesema ikipokea hoja kutoka kwa wadau walio wengi kuhusu hitaji la mabadiliko ya kanuni ya uchaguzi wa Naibu…

Soma Zaidi »

Dereva Shabiby akamatwa kusababisha ajali

MOROGORO; POLISI mkoani Morogoro inamshikilia dereva wa basi la Kampuni ya Shabiby lenye namba za usajili T 341 EEU, Said…

Soma Zaidi »

Wadakwa wakisafirisha punda 46 nje ya nchi

ARUSHA; JESHI la Polisi kikosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi…

Soma Zaidi »

Mgahawa waporomoka na kuua 4

Mallorca, HISPANIA; JENGO la ghorofa mbili katika kisiwa maarufu cha utalii nchini Hispania cha Mallorca limeporomoka na kuua watu wanne…

Soma Zaidi »

TIRA yatoa maelekezo kuepuka udanganyifu

DAR ES SALAAM :Wamiliki wa kampuni za bima, watu wa wanaohusika na gereji za magari, wametakiwa kufuata mwongozo sahihi wa…

Soma Zaidi »

Rais mpya Chad aapishwa

N’Djamena, CHAD: RAIS mpya wa Chad, Mahamat Idriss Deby, ameapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo, baada ya miaka mitatu kama…

Soma Zaidi »

DC Iringa akerwa mikutano ya kusikiliza kero

MKUU wa Wilaya ya Iringa, Kheri James ameonesha kutofurahishwa na mikutano inayohusu usikilizaji wa kero za wanachi akisema hiyo ni…

Soma Zaidi »
Back to top button