Infographics

Farasi watumika doria Ranchi ya Kongwa

DODOMA; FARASI walioko katika Ranchi ya Kongwa iliyoko jijini Dodoma, wamekuwa wakifanya doria katika eneo lenye ukubwa wa hekta 19,570.…

Soma Zaidi »

Samia awasili KIA akielekea Monduli

KILIMANJARO; Rais Samia Suluhu Hassan amewasili Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro KIA,tayari kwa ajili ya kuelekea wilayani Monduli mkoani Arusha…

Soma Zaidi »

Ulinzi waimarishwa usiku wa UEFA

HISPANIA; ULINZI mkali utaimarishwa kuelekea michezo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kufuatia taarifa ya chombo kimoja cha habari kilichoripotiwa kuunga…

Soma Zaidi »

Bodaboda waonywa misafara ya viongozi

KIGOMA; Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa Kigoma, imekemea tabia ya waendesha pikipiki zinazobeba abiria maarufu kama bodaboda  kuendesha pikipiki…

Soma Zaidi »

Mchezaji Kaizer Chiefs auawa kwa bunduki

Johannesburg, Afrika Kusini; MCHEZAJI wa Afrika Kusini na timu ya Kaizer Chiefs Luke Fleurs, ameuawa kwa kupigwa risasi katika tukio…

Soma Zaidi »

‘PDPC itasaidia kulinda faragha, taarifa binafsi’

DAR ES SALAAM: Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuzinduliwa kwa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) kutasaidia kulinda faragha…

Soma Zaidi »

Rais Samia asaini miswada sheria za uchaguzi kuwa sheria

DODOMA; Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameidhinisha miswada ya sheria minne ili iweze kuwa sheria.…

Soma Zaidi »

Lindi, Mtwara wapewa somo kushirikiana na Ewura

MTWARA; Maofisa Biashara wa Halmashauri za Mikoa ya Lindi na Mtwara, wametakiwa kufanya shughuli zao kwa kushirikiana na Mamlaka ya…

Soma Zaidi »

Jengo la dharura laokoa Sh milioni 56 Maswa

SIMIYU: Mganga mfawidhi Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Dk James Bwire amesema kuwa baada ya serikali…

Soma Zaidi »

Sir Elton John kazi yake bado inatikisa

UINGEREZA; SIR Elton John ni mwimbaji, mpigaji kinanda, na mtunzi maarufu kutoka Uingereza. Alizaliwa Machi 25,1947 akiwa kama Reginald Kenneth…

Soma Zaidi »
Back to top button