Infographics

Mayele, Benchika wapenya orodha ya mwisho CAF

CAIRO, Misri: MSHAMBULIAJI wa zamani wa klabu ya Yanga anayekipiga Pyramids ya nchini Misri, Fiston Mayele ameingia tatu bora ya…

Soma Zaidi »

Rais wa zamani Mauritania jela miaka mitano

RAIS wa zamani wa Mauritania, Mohamed Ould Abdel Aziz amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kosa la utakatishaji fedha…

Soma Zaidi »

Vitanda changamoto wodi mama na mtoto hospitali Mkuranga

HOSPITALI ya Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani, inakabiliwa na upungu mkubwa wa vitanda katika wodi ya mama na mtoto hali…

Soma Zaidi »

Watu sita wafa kwa radi Mtwara

WATU sita wamekufa na wengine tano kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakiwa kwenye sherehe ya kumpongeza kijana wao aliyehitumu…

Soma Zaidi »

Mitaala mipya yakaribia VETA

MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeandaa vitini kwa ajili ya maandalizi ya mitaala mipya inayoanza Januari…

Soma Zaidi »

‘Kama humuoni ndugu yako toa taarifa’

MANYARA: Hanang. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang mkoani Manaya, Rose Kamili, amewataka wananchi ambao hawafahamu ndugu zao walipo…

Soma Zaidi »

Rais Samia atoa maelekezo mafuriko Manyara

UAE; Rais Samia Suluhu Hassan ametoa salamu za pole na kutoa maelekezo kwa vyombo vinavyoshughulikia maafa yaliyotokea katika kijiji cha…

Soma Zaidi »

Mavunde akabidhi viti mwendo SHIVYWATA

MBUNGE wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde amekabidhi vitu mwendo ,wheelchair’ vyenye thamani ya Sh milioni 4 kwa Shirikisho la Vyama…

Soma Zaidi »

Henry Kissinger afariki dunia

CONNECTICUT, Marekani : WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Nje wa Marekani na Mshauri Wa Usalama wa taifa hilo, Henry…

Soma Zaidi »

‘Tafiti zitumike kutatua changamoto kwa jamii’

JAMII inapaswa kunufaika na majibu chanya ya kisayansi yanayopatikana kupitia tafiti zinazofanywa kwa ajili ya kutatua changamoto mbalimbali ulimwenguni. Ofisa…

Soma Zaidi »
Back to top button