Infographics

Mtumishi atakiwa ‘atapike’ Sh 250,000 alizotafuna

KATAVI; Mpanda Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi, Jamila Yusuf amempa siku saba Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya…

Soma Zaidi »

Waziri afutwa kazi tuhuma za ubadhirifu Nigeria

RAIS wa Nigeria, Bola Tinubu amemsimamisha kazi Waziri wa Masuala ya Kibinadamu, Betta Edu na kulitaka shirika linalofuatilia ufisadi kuchunguza…

Soma Zaidi »

Soko la karafuu kimataifa ni uhakika

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema serikali kupitia balozi zake na majukwaa mbalimbali yataendelea na jitihada za kufungua masoko ya zao…

Soma Zaidi »

Korea Kusini yapiga marufuku ulaji nyama ya mbwa

BUNGE nchini Korea Kusini limepitisha sheria mpya inayolenga kukomesha uchinjaji na uuzaji wa nyama ya mbwa ifikapo 2027. Sheria hiyo…

Soma Zaidi »

Mkata umeme Msenegali atua Simba

Simba imemsajili kiungo mkabaji, Babacar Sarr (26) raia wa Senegal kwa mkataba wa miaka miwili akitokea US Monastir ya nchini…

Soma Zaidi »

Onyo latolewa wanaochelewesha miundombinu ya shule

MOROGORO: KATIBU Mkuu Ofisi ya  Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ,Adolf Ndunguru amewataka viongozi wa…

Soma Zaidi »

Okrah rasmi Yanga

WINGA wa zamani wa Simba SC, Augustine Okrah ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa Yanga. Nyota huyo mwenye uwezo wa kucheza…

Soma Zaidi »

Wanne wafa mto ukisomba makazi DR Congo

WATU wanne wamekufa na wengine 20 wakihofiwa kutoweka baada ya mto kusomba baadhi ya majengo huko Kivu Kusini Mashariki mwa…

Soma Zaidi »

Wananchi Chad waunga mkono katiba mpya

WANANCHI wa Chad wamepiga kura kuunga mkono katiba mpya ambayo wakosoaji wanasema itampa nguvu ya kimamlaka ya kiongozi wa kijeshi…

Soma Zaidi »

CCM yatoa neno wanaotaka ubunge

DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wanachama wa chama hicho kuacha kufikiria nafasi za udiwani, ubunge kwa sasa…

Soma Zaidi »
Back to top button