Wanawake

Bil 5.3/- zawezesha wanawake Moro

MOROGORO: WANAWAKE 8,248 wa Mkoa wa Morogoro wamepata mipoko yenye thamani ya Sh bilioni 5.3 kupitia vikundi vyao kwa ajili…

Soma Zaidi »

RC Shinyanga anogesha siku ya wanawake duniani

SHINYANGA: KIKUNDI cha Mwanamke Chuma wilayani Kahama kimemkabidhi keki mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kwa niaba ya wanawake wote katika…

Soma Zaidi »

Sh bil 1 kuwezesha wanawake kiuchumi Ushetu

SHINYANGA: Vikundi viwili vya wanawake halmashauri za wilaya ya Ushetu na Shinyanga vimekabidhiwa hundi yenye zaidi ya Sh bilioni 1.6…

Soma Zaidi »

Wanawake washauriwa kuzingatia vigezo mikopo

DAR ES SALAAM: WATAALAMU na washauri wa masuala ya fedha kutoka Brac Tanzania Limited wamewataka wanawake kuacha kutanguliza shida binafsi…

Soma Zaidi »

WLF yajizatiti kumaliza tofauti za kiitikadi kwa wanawake

GEITA: JUKWAA la Viongozi Wanawake (WLF) limetangaza kuja na mipango mikakati inayoazimia kuunganisha makundi yote ya wanawake pasipo kujali tofauti…

Soma Zaidi »

Malima ataka uwajibikaji changamoto za wanawake

MOROGORO: MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amewaagiza  watendaji wa mitaa, vijiji na kata za mkoa huo kushughulikia kikamilifu…

Soma Zaidi »

Taasisi ya Mariam Mwinyi inavyobadilisha maisha Zanzibar

WAKATI wa maji kupwa katika ufukwe wa Zanzibar, wanawake huingia taratibu ndani ya maji ya joto ya Bahari ya Hindi,…

Soma Zaidi »

TPF-NET yatua wodi ya waliojifungua Katoro

GEITA: Mtandao wa Polisi Wanawake (TPF-NET) mkoa wa Geita umetembelea na kutoa zawadi kwa kina mama waliojifungua katika wodi ya…

Soma Zaidi »

Wanawake wahimizwa kupima afya mapema

KATIKA kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, wanawake wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupima afya zao mapema, hususan…

Soma Zaidi »

Mkurugenzi Mtendaji TSN asifu mchango wanawake

DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Asha Dachi, amepongeza kuongezeka kwa ushiriki wa wanawake…

Soma Zaidi »
Back to top button