Africa

Watu 7,000 wafa DR Congo

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Judith Tuluka ametangaza zaidi ya watu 7,000 wamepoteza maisha tangu kuanza kwa…

Soma Zaidi »

Afrika Kusini yatangaza mgao wa umeme

SHIRIKA la Taifa la Umeme la Eskom nchini Afrika Kusini limetangaza kuanzishwa kwa mgao wa umeme, kufuatia tatizo la kukatika…

Soma Zaidi »

Rais Samia kuanza ziara Tanga Feb 23

WANANCHI  wa Mkoa wa Tanga leo wamejitokeza kwa wingi kushiriki matembezi ya pamoja yaliyoandaliwa kwa ajili ya kuhamasisha mapokezi ya…

Soma Zaidi »

Marais saba kuja mkutano wa kahawa Afrika kesho

MARAIS saba wamethibitisha kushiriki mkutano wa nchi 25 zinazolima kahawa Afrika (G-25) unaotarajiwa kufanyika kesho na keshokutwa kwenye Kituo cha…

Soma Zaidi »

Besigye arudishwa gerezani

KIONGOZI wa Upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ,68, amerudishwa gerezani baada ya kuwahishwa hospitali kutokana na afya yake kuzorota kwa…

Soma Zaidi »

Kiongozi wa upinzani Kizza Besigye akimbizwa hospitali

UGANDA : WAFUASI wa kiongozi wa muda mrefu wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, wamefichua kuwa mwanasiasa huyo alikimbizwa hospitalini…

Soma Zaidi »

AU yahofia mgawanyiko DR Congo

  ADDIS ABABA: UMOJA wa Afrika umeonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu mgawanyiko wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kufuatia waasi…

Soma Zaidi »

AU yajizatiti kukabili migororo Afrika

MWENYEKITI mpya wa Umoja wa Afrika (AU) Rais wa Angola, João Lourenço ameelezea umuhimu wa kuendelea na umoja huo akisisitiza…

Soma Zaidi »

Mahmoud mwenyekiti mpya kamisheni AU

ADDIS ABABA: Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibout, Mahmoud Youssouf amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika.…

Soma Zaidi »

Guterres asisitiza Afrika kupata uwakilishi Umoja wa Mataifa

ADDIS ABABA, Ethiopia –Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres amesema Afrika inastahili kupata uwakilishi wake wa haki katika…

Soma Zaidi »
Back to top button