Africa

Mkutano wa Umoja wa Afrika waanza Addis Ababa, Ethiopia

Mkutano utaendelea na kikao cha faragha ambapo viongozi wapya wa nchi na serikali watatoa maoni yao.

Soma Zaidi »

Uchaguzi AUC 2025: Kapt. Ibrahim, watano wengine kutoshiriki

Burkina Faso iliwahi pia kusimamishwa kwa muda mwaka 2015. Mataifa mengine ni Guinea, Gabon, Niger, Sudan na Mali.

Soma Zaidi »

Uchaguzi wa Uenyekiti wa AUC 2025: Mchuano mkali wa Kikanda

Mwaka 2017, Amina Mohamed wa Kenya alipata kura 16 katika duru ya kwanza dhidi ya kura 14 za Moussa Faki,…

Soma Zaidi »

Samia kuongoza ajenda nishati safi AU

RAIS Samia Suluhu Hassan yuko nchini Ethiopia kushiriki Mkutano wa kawaida wa 38 wa Wakuu wa Nchi na serikali wa…

Soma Zaidi »

Baraza la Usalama AU kujadili mzozo DR Congo

ADDIS ABABA: Mkutano wa kilele wa viongozi wa Umoja wa Afrika (AU) unaofanyika nchini Ethiopia mwishoni mwa wiki hii utajadili…

Soma Zaidi »

Rais Samia kuhudhuria mkutano AU

Rais Dk Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi Addis Ababa nchini Ethiopia kuanzia leo hado Februari 16, kushiriki…

Soma Zaidi »

Wanafunzi wanaofadhiliwa na USAID wafukuzwa Malawi

MALAWI: VYUO vikuu vya umma nchini Malawi vimeamuru wanafunzi wote wanaofadhiliwa na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID)…

Soma Zaidi »

Idadi ya wagonjwa wa EBOLA wafikia tisa

UGANDA: SERIKALI ya Uganda imetangaza kuwa idadi ya watu walioambukizwa ugonjwa wa Ebola imefikia tisa kutoka watu watatu tangu ilipobaini…

Soma Zaidi »

Congo yaipelekea Rwanda mahakamani

DR CONGO: JAMHURI ya kidemokrasia ya Congo (DRC), imewasilisha kesi dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Afrika ya Haki za…

Soma Zaidi »

Watu zaidi ya 50 wauawa DR Congo

CONGO: WATU zaidi ya 50 wameuawa na wapiganaji wa kundi la waasi la Codeco Militia katika Kijiji cha Djaiba kilichopo…

Soma Zaidi »
Back to top button