Africa

Shelisheli kuna watu laki moja tu

TAIFA la Shelisheli ndilo lenye watu wachache zaidi Afrika likiwa na watu 119,878, hii ni kwa mujibu wa takwimu za…

Soma Zaidi »

Mafuriko yaua 30 Nigeria

NIGERIA : MSEMAJI wa Kitaifa  na msimamizi wa masuala ya dharura nchini Nigeria Ezekiel Manzo, amesema idadi ya watu waliopoteza …

Soma Zaidi »

Uganda yapewa mkopo dola miiioni 600

UGANDA : BENKI ya Dunia (WORLD BANK) kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) zimetangaza kuipa Uganda mkopo…

Soma Zaidi »

Rutunga apewa kifungo miaka 20 jela

RWANDA : MAHAKAMA nchini Rwanda imemkuta na hatia Venant Rutunga  kwa kushiriki mauaji ya kimbari ya mwaka 1994, na kumuhukumu…

Soma Zaidi »

Moto waua wanafunzi 17 Kenya

KENYA : RAIS wa Kenya, William Ruto ameuagiza uongozi wa Wizara ya  mambo ya ndani kuanza kufanya uchunguzi wa tukio…

Soma Zaidi »

DRC kupatiwa chanjo ya Mpox

DRC CONGO : KITUO cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa CDC Kanda ya Afrika kimeanza kupeleka chanjo ya kwanza ya Mpox…

Soma Zaidi »

Afrika yaitathmini ICC kimya kimya

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) imetimiza miaka 22 tangu kuanzishwa kwake Julai 2002, huku kukiwa na maswali…

Soma Zaidi »

Ruto awateua wapinzani uwaziri

KENYA: Rais wa Kenya, William Ruto amewateua baadhi ya viongozi wa upinzani katika baraza lake la mawaziri .na pia amerejesha mawaziri…

Soma Zaidi »

EAC mwenyeji jukwaa la mtandao

ARUSHA: J UMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kushirikiana na Internet Society Tawi la Uganda, watakuwa wenyeji wa Jukwaa la…

Soma Zaidi »

Kituo cha Lwakhakha kuboreshwa

ARUSHA: JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kushirikiana na Kenya na Uganda zimeanza mchakato wa kuboresha kituo cha mpakani cha…

Soma Zaidi »
Back to top button