Africa

Ruto Atangaza Baraza Jipya la Mawaziri

KENYA: Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza  baraza la jipya la mawaziri kumi na moja kati ya 22 katika baraza…

Soma Zaidi »

Afrika Mashariki Kukabiliwa na Malaria Sugu,

AFRIKA: Wanasayansi duniani wameziomba Mamlaka za Afya barani Afrika kuchukua tahadhari dhidi ya malaria sugu ambayo inadaiwa kuwa mamilioni ya…

Soma Zaidi »

Mfahamu Aliyetunga Wimbo wa Taifa Tanzania

AFRIKA YA KUSINI: Wimbo wa taifa wa Tanzania “Mungu ibariki Afrika” ulibuniwa na mtunzi kutoka Afrika Kusini Enoch Sontonga. SOMA:https://habarileo.co.tz/wimbo-wa-taifa/…

Soma Zaidi »

Hali tete Sudan, MSF yaomba msaada

SUDAN: Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF), Christou Christou amesema mashirika ya Umoja wa Mataifa…

Soma Zaidi »

Ford yakana kuhusika maandamano Kenya

MAREKANI: Shirika la Ford Foundation, linalotetea haki na demokrasia ulimwenguni, limekanusha tuhuma zinazolihusisha kufadhili maandamano ya kupinga serikali ya Kenya…

Soma Zaidi »

Utajiri wa Dangote washangaza

NIGERIA; Tajiri mkubwa Afrika Aliko Dangote, amewashangaza watu wengi wa Nigeria baada ya kusema hana nyumba nje ya nchi hiyo.…

Soma Zaidi »

Wasiwasi ma Gen Z wakijiandaa kuandamana tena

NAIROBI, Kenya – Ingawa Rais William Ruto aliondoa Mswada tata wa Fedha wa 2024 wiki iliyopita, wapinzani wa mswada huo…

Soma Zaidi »

Rais Ramaphosa atangaza Baraza la Mawaziri

PRETORIA, South Afrika – Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amemteua kiongozi wa zamani wa upinzani John Steenhuisen kuwa waziri…

Soma Zaidi »

Maandamano Kenya yaua, yajeruhi

KENYA; Zaidi ya watu 30 wamejeruhiwa na mtu mmoja amefariki dunia katika maandamano nchini Kenya ya kupinga mapendekezo ya nyongeza…

Soma Zaidi »

Vijana waandamana Kenya

KENYA; Kundi la vijana limeandamana mjini Nairobi, Kenya leo Juni 20, 2024 kuishinikiza serikali kufuta mapendekezo ya muswada wa sheria…

Soma Zaidi »
Back to top button