Africa

Wanafunzi waongezewa likizo hofu ya kipindupindu Zambia

WANAFUNZI wote nchini Zambia watachelewa kwa wiki tatu kurejea shuleni kutoka likizo kutokana na mlipuko wa kipindupindu. Wanafunzi wote wa…

Soma Zaidi »

Miss Namibia autaka urais

MSHINDI wa taji la Miss Namibia mwaka 2022, Cassia Sharpley ametangaza nia ya kugombea urais wa taifa hilo licha ya…

Soma Zaidi »

Kura za wagombea ubunge 82 zafutwa Dr Congo

TUME ya uchaguzi nchini Dr Congo (CENI) imefuta kura zilizopigwa kwa wagombea ubunge 82 kati ya 101,000 katika uchaguzi mkuu…

Soma Zaidi »

Makomando watano wapotea Senegal

MAKOMANDO wanamaji watano wa Senegal wametoweka tangu Ijumaa wakati mashua inayoshukiwa kusafirisha dawa za kulevya ilipotegwa katika ufuo wa mji…

Soma Zaidi »

RSF wako tayari kuleta amani Sudan

KIKOSI cha Msaada wa Haraka cha Sudan (RSF) kimesema kipo tayari kusimamisha mapigano mara moja bila masharti kupitia mazungumzo na…

Soma Zaidi »

Wapinzani wengine wa Tshisekedi wakubali yaishe

WAGOMBEA wengine wawili walioshiriki uchaguzi wa rais mwezi uliopita nchini DR Congo wameeleza hawatapeleka suala hilo mahakamani. Kundi kubwa la…

Soma Zaidi »

Mlipuko lori la mafuta 40 wafa Liberia

TAKRIBAN watu 40 wamekufa kufuatia mlipuko wa lori la gesi Kaskazini mwa Liberia, ofisa mkuu wa matibabu, Francis Kateh, amesema.…

Soma Zaidi »

Waandamaji DR Congo, polisi watumia mabovu ya machozi

POLISI nchini DR Congo wamelazimika kutumia mabovu ya machozi kutawanya waandamanaji ambao ni wafuasi wa upinzani katika mji mkuu Kinshasa…

Soma Zaidi »

Mafuriko yauwa watu 22 Dr Congo

MFAURIKO yaliyosababishwa na mvua kubwa katikati mwa DR Congo yamesababisha vifo vya takriban watu 22, wakiwemo 10 wa familia moja,…

Soma Zaidi »

Wapiganaji 80 Al-Shabab wauawa

MOGADISHU, Somalia:  WAPIGANAJI 80 wa kundi la wanamgambo wa Al-Shabaab wameuawa katika operesheni za kijeshi na Jeshi la Somalia katika…

Soma Zaidi »
Back to top button