Africa

EAPP wajizatiti kusimamia miradi ya umeme

NAIROBI, Kenya: BARAZA la Mawaziri wanaohusika na mfumo wa pamoja wa umeme kwa nchi za Mashariki mwa Afrika (EAPP Council…

Soma Zaidi »

Watu 15 wauawa shambulio Burkina Faso

WATU 15 wameuawa na wengine wawili kujeruhiwa kufuatia shambulizi katika kanisa katoliki Kaskazini Mashariki mwa Burkina Faso jana. Tukio hilo…

Soma Zaidi »

Wagombea wagomea mdahalo wa rais Senegal

WAGOMBEA wengi katika uchaguzi wa rais uliocheleweshwa nchini Senegal wamesema hawatashiriki katika mdahalo wa kitaifa uliopendekezwa na Rais Macky Sall.…

Soma Zaidi »

Watu 700 wafa kwa kipindupindu Zambia

IDADI ya vifo vilivyotokana na mlipuko wa kipindupindu nchini Zambia imeongezeka hadi 700, linasema shirika la matibabu la Médecins Sans…

Soma Zaidi »

Mataifa saba yafutiwa ada kuingia Kenya

KENYA imewasamehe walio na pasipoti kutoka nchi saba kulipa ada ya kuingia nchini humo iliyoanzishwa mwezi uliopita. Serikali ilitupilia mbali…

Soma Zaidi »

Rais Senegal atangaza ukomo wake

RAIS wa Senegal, Macky Sall amesema April 2, mwaka huu atafikia ukomo wa nafasi yake ila hafahamu ni lini uchaguzi…

Soma Zaidi »

Uturuki kuipa Somalia ulinzi baharini

UTURUKI itatoa msaada wa usalama wa baharini kwa Somalia kusaidia nchi hiyo kutetea mipaka yake ya maji, ofisa kutoka Wizara…

Soma Zaidi »

Waziri Mkuu DR Congo ajiuzulu

WAZIRI Mkuu wa DR Congo, Jean-Michel Sama Lukonde amejiuzulu. Lukonde aliwasilisha ombi la kujiuzulu kwa Rais Felix Tshisekedi. Sasa atajiunga…

Soma Zaidi »

Somalia yaweka njia mbadala usalama

WAKATI Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kikijiandaa kujiondoa mwishoni mwa 2024, Serikali ya Somalia inapanga…

Soma Zaidi »

Marekani kujenga vituo vitano vya jeshi Somalia

MAREKANI imepanga kujenga vituo vitano vya kijeshi katika mradi unaotaka kuimarisha uwezo wa jeshi la taifa la Somalia huku kukiwa…

Soma Zaidi »
Back to top button