Kimataifa

Uganda kupitia upya sera ya wakimbizi

SERIKALI ya Uganda, imesema huenda ikalazimika kupitia upya sera yake ya kuwapa hifadhi wakimbizi, ikiwa jumuiya ya kimataifa itaendelea kusalia…

Soma Zaidi »

Baada ya miaka miwili, mwanaharakati Zimbabwe azikwa

MIAKA miwili baada ya kuuawa, mwanaharakati wa upinzani nchini Zimbabwe Moreblessing Ali hatimaye amezikwa katika Mji wa Chitungwiza, Harare. Ali…

Soma Zaidi »

Mchekeshaji Mr Ibu Afariki Dunia

LAGOS, Nigeria: Mchekeshaji na Mwigizaji mkongwe kutoka Nollywood, John Okafor ama Mr Ibu, amefariki dunia usiku huu akiwa na umri…

Soma Zaidi »

Walinda amani DR Congo kuondoka Kamanyola

WANAJESHI wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wanaondoka katika kambi ya Kamanyola nchini DR Congo, huku polisi wakichukua jukumu…

Soma Zaidi »

Wanafunzi 17 wafa uti wa mgongo Nigeria

WANAFUNZI 17 kutoka shule tano katika jimbo la Yobe, Kaskazini Mashariki mwa Nigeria wamekufa kufuatia mlipuko wa homa ya uti…

Soma Zaidi »

Rais Senegal athibitisha tarehe ya kuachia madaraka

RAIS wa Senegal, Macky Sall amethibitisha kuwa ataachia ngazi muda wake utakapokamilika Aprili 2, 2024. Rais Sall alibainisha kuwa “mazungumzo…

Soma Zaidi »

Watu 24 wafa maji Senegal

TAKRIBANI watu 24 waliokuwa wakielekea Ulaya wamekufa baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzama katika Pwani ya Kaskazini mwa Senegal, maofisa…

Soma Zaidi »

Umeme wakatwa bungeni deni la Sh bilioni 4

BUNGE nchini Ghana limekatiwa umeme na Kampuni Umeme ya Serikali (ECG) kutokana na deni la Cedi 23m ambazo sawa na…

Soma Zaidi »

Kiongozi upinzani Zimbabwe jela miezi sita

MAHAKAMA nchini Zimbabwe imemhukumu kiongozi wa upinzani, Tendai Biti kifungo cha miezi sita jela au faini ya Dola 300 kwa…

Soma Zaidi »

Kivuko chauwa watu 10 Misri

WATU 10 kati ya 15 wamekufa baada ya kivuko walichokuwa wamepanda kuzaka katika Mto Nile nje kidogo ya mji mkuu…

Soma Zaidi »
Back to top button