Kimataifa

Waliokufa kwa tetemeko la ardhi wafikia 161 Japan

IDADI ya watu waliokufa kutokana na tetemeko la ardhi lililosababisha uharibifu mkubwa Siku ya Mwaka Mpya nchini Japan imeongezeka kufikia…

Soma Zaidi »

Wachimba migodi 15 waokolewa Zimbabwe

KIKOSI cha waokoaji jana Jumapili kimewaokoa wachimbaji wote 15 wa mgodi wa kujikimu walionasa chini ya shimo katika mgodi wa…

Soma Zaidi »

Wanafunzi waongezewa likizo hofu ya kipindupindu Zambia

WANAFUNZI wote nchini Zambia watachelewa kwa wiki tatu kurejea shuleni kutoka likizo kutokana na mlipuko wa kipindupindu. Wanafunzi wote wa…

Soma Zaidi »

Miss Namibia autaka urais

MSHINDI wa taji la Miss Namibia mwaka 2022, Cassia Sharpley ametangaza nia ya kugombea urais wa taifa hilo licha ya…

Soma Zaidi »

Kura za wagombea ubunge 82 zafutwa Dr Congo

TUME ya uchaguzi nchini Dr Congo (CENI) imefuta kura zilizopigwa kwa wagombea ubunge 82 kati ya 101,000 katika uchaguzi mkuu…

Soma Zaidi »

Makomando watano wapotea Senegal

MAKOMANDO wanamaji watano wa Senegal wametoweka tangu Ijumaa wakati mashua inayoshukiwa kusafirisha dawa za kulevya ilipotegwa katika ufuo wa mji…

Soma Zaidi »

Watu 11 wauawa shambulio la Urusi, nchini Ukraine

SHAMBULIO la kombora la Urusi limeua watu 11, wakiwemo watoto watano, Mashariki mwa Ukraine, Ofisa wa eneo hilo anasema. Makombora…

Soma Zaidi »

Wapalestina wengine 18 wauawa

TAKRIBAN Wapalestina 18 wameuawa baada ya mashambulizi ya Israel kulenga nyumba moja huko Khan Younis usiku kuamkia leo. Mtandao wa…

Soma Zaidi »

RSF wako tayari kuleta amani Sudan

KIKOSI cha Msaada wa Haraka cha Sudan (RSF) kimesema kipo tayari kusimamisha mapigano mara moja bila masharti kupitia mazungumzo na…

Soma Zaidi »

Wapinzani wengine wa Tshisekedi wakubali yaishe

WAGOMBEA wengine wawili walioshiriki uchaguzi wa rais mwezi uliopita nchini DR Congo wameeleza hawatapeleka suala hilo mahakamani. Kundi kubwa la…

Soma Zaidi »
Back to top button