Kimataifa

Rais mstaafu Mauritania akana matumizi mabaya ya uongozi

RAIS wa zamani wa Mauritania, Mohamed Ould Abdel Aziz amekanusha mahakamani madai yote anayokabiliana nayo ya kutumia vibaya mamlaka yake…

Soma Zaidi »

Waliokufa kwa mafuriko wafikia 136 Kenya

IDADI ya vifo vilivyotokana na mafuriko imeongezeka hadi 136 nchini Kenya. Kulingana na Kituo cha Kitaifa cha Amri ya Dharura…

Soma Zaidi »

Watu 20 wafa ajali ya gari Ethiopia

WATU 20 wamefariki katika ajali ya basi Kusini mwa Ethiopia, wengine zaidi ya 30 wakijeruhiwa, mamlaka eneo hilo imeeleza. Ajali…

Soma Zaidi »

Rais Salva Kiir awafuta kazi mawaziri wawili

RAIS wa Sudan Kusini, Salva Kiir amewafuta kazi mawaziri wawili na gavana wa jimbo la Warrap kaskazini mwa nchi hiyo.…

Soma Zaidi »

Makubaliano kusitisha vita yasogezwa mbele

GAZA, Palestina: MAKUBALIANO ya kusitisha vita ambayo yalisababisha kurejeshwa kwa wanawake na watoto 50 wa Kiisraeli kutoka Gaza, pamoja na…

Soma Zaidi »

Qatar yatarajia mapatano zaidi Israel, Hamas

MAJED Al-Ansari, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar, ameiambia amesema nchi hiyo inatarajia kuona mapatano kati ya…

Soma Zaidi »

Wafanyakazi Wapalestina kurudishwa Gaza

TEL-AVIV, Israel MAELFU ya wafanyakazi wa Kipalestina waliokuwa Israel watarejeshwa Gaza, imeeleza taarifa ya Redio ya Jeshi la Israel. Imeripotiwa…

Soma Zaidi »

Vijana watatu raia wa Ufaransa waachia na Hamas

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Catherine Colonna amesema vijana watatu raia wa Ufaransa ni miongoni mwa mateka walioachiliwa…

Soma Zaidi »

Usitishaji vita Israel, Hamas bado kitendawili

USITISHAJI vita wa muda kati ya Israel na Hamas umeingia siku ya tano na sasa zimeongezwa saa 48 kukubaliwa kwa…

Soma Zaidi »

Vifo vya dengue vyafikia 570 Burkina Faso

UGONJWA wa homa ya dengue umesababisha vifo vya watu 356 nchini Burkina Faso kati ya katikati ya Oktoba na katikati…

Soma Zaidi »
Back to top button