Kimataifa

Waliokufa mafuriko Somalia wafikia 96

IDADI ya watu waliofariki kutokana na mafuriko Somalia imepanda hadi 96, Shirika la Habari la Serikali SONNA limeripoti. – “Idadi…

Soma Zaidi »

Nigeria kujiunga BRICS, G20

NDANI ya miaka miwili, Nigeria itakuja kuwa mwanachama wa kundi la BRICS, pamoja na G20, amesema Waziri wa Mambo ya…

Soma Zaidi »

Watu 17 wapoteza maisha ajali ya lori Nigeria

WATU 17 wamekufa na zaidi ya 208 kujeruhiwa baada ya lori lililowabeba kuanguka katika jimbo la Niger nchini Nigeria, kikosi…

Soma Zaidi »

Wanajeshi walinda amani 15,000 kuondoka Congo

UJUMBE wa Umoja wa Mataifa wa kuleta amani nchini DR Congo (MONUSCO) umetia saini mkataba wa kuwaondoa wanajeshi 15,000 wa…

Soma Zaidi »

Mwigizaji Urusi afariki mbele ya wanajeshi Ukraine

MWIGIZAJI raia wa Urusi, Polina Menshikh ameuawa katika tukio la mlipuko wakati akifanya onesho mbele ya vikosi vya jeshi nchini…

Soma Zaidi »

Israel haijajibu kusudio la Hamas kusitisha mapigano

ISRAEL haijasema chochote kuhusiana na mpango wa kundi la wanajeshi wa Palestina Hamas juu ya kusitisha mapigano kwa siku nne…

Soma Zaidi »

Wabunge Afrika Kusini wapiga kura kusitisha uhusiano na Israel

WABUNGE wa Afrika Kusini wamepiga kura Jumanne kuunga mkono kufungwa kwa ubalozi wa Israel mjini Pretoria na kusimamisha uhusiano wote…

Soma Zaidi »

Dola milioni 500 kuzalisha nishati mbadala, gesi Nigeria

KAMPUNI ya Nigeria na nyingine kutoka nchini Ujerumani zimesaini mkataba wa Dola milioni 500 wa nishati mbadala na gesi. Benki…

Soma Zaidi »

Al-Shabab kuondolewa Somalia

RAIS wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud amesema taifa hilo lina muda wa mwaka mmoja kuliondoa kundi la wanamgambo wa Al-Shabaab…

Soma Zaidi »

Watu 37 wafariki mkanyagano usajili wa wanajeshi Congo

TAKRIBANI watu 37 wamefariki katika mkanyagano wakati wa harakati za kuwasajili wanajeshi katika uwanja wa michezo nchini Congo, serikali imesema.…

Soma Zaidi »
Back to top button