Kimataifa

Mendy hana hatia kesi ya ubakaji

BEKI wa zamani wa Manchester City, Benjamin Mendy amekutwa hana hatia ya katika mashitaka mawili yaliyokuwa yakimkabili moja la ubakaji…

Soma Zaidi »

Kaya masikini kupokea Sh 24,000 kila mwezi Nigeria

RAIS mpya wa Nigeria Bola Tinubu ametangaza mpango wa serikali yake kutoa dola 10 (Sh 24,000) kwa mwezi kwa kaya…

Soma Zaidi »

Waigizaji, waandishi wa filamu waungana kugoma Marekani

WAIGIZAJI mahiri wa filamu wataungana na waandishi wao huko New York na Los Angeles siku ya Ijumaa katika mgomo ambao…

Soma Zaidi »

Wafanya maadhimisho jaribio kuipindua serikali

LEO Waturuki waliopo hapa nchini wameungana na Waturuki wenzao pote duniani kufanya maadhimisho ya saba ya ushindi dhidi ya jaribio…

Soma Zaidi »

Korea Kaskazini yafyatua kombola la balestiki usiku

KOREA Kaskazini imerusha kombora la balestiki katika Bahari ya Japan leo Jumatano, Julai 12 ikiwa ni saa kadhaa baada ya…

Soma Zaidi »

Wanywaji pombe waongezeka, unywaji kupindukia wapungua

UTAFITI uliofanywa na Kituo cha Matibabu cha Rwanda (RBC) umebaini kuwa kiwango cha watu wanaokunywa pombe nchini kimeongezeka kutoka asilimia…

Soma Zaidi »

‘Nusu ya umeme Uganda hautumiki’

WIZARA ya Nishati imesema karibu nusu ya umeme unaozalishwa nchini hapa hautumiki. Akihutubia wanahabari Jumatano, Kaimu Kamishna Msaidizi anayesimamia ufanisi…

Soma Zaidi »

Kasi yazidi Kiswahili kitumike EAC, UN

KASI ya wadau mbalimbali katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuinadi Lugha ya Kiswahili ili itumike katika kanda…

Soma Zaidi »

Van Der Sar alazwa ICU

IMEELEZWA golikipa wa zamani wa Manchester United, Edwin Van Der Sar amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) baada ya…

Soma Zaidi »

Musk abadili mfumo kuona tweets

MMILIKI wa Twitter, Elon Musk ametangaza mfumo mpya wa matumizi ya mtandao huo. Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Musk ametoa…

Soma Zaidi »
Back to top button