Watu million 6.8 walioko hatarini katika majanga mbalimbali watafaidika na mpango wa Umoja wa Mataifa (UN) wa kupewa msaada, ili…
Soma Zaidi »Kimataifa
WALIMU watatu nchini Uganda; Robert Mubiru, Wenecelaus Twongereirwe na Vincent Atukwase wanaokabiliwa na kesi ya kuvujisha mtihani nchini humo wameendelea…
Soma Zaidi »WABUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), wamemchagua Joseph Ntakarutimana kuwa Spika wa bunge hilo katika uchaguzi uliofanyika…
Soma Zaidi »WATU 31 wamefariki baada ya kuibuka wimbi jipya la kipindupindu nchini Nigeria Jumapili na Jumatatu katika vijiji 10 vya jimbo…
Soma Zaidi »WATOTO wawili wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wengine wawili kujeruhiwa katika harakati ya kulipiza kisasi mjini Isiolo. Watoto hao…
Soma Zaidi »MLINZI wa usiku ameuawa kwa kukatwakatwa katika tukio la ujambazi lililofanyika katika Kanisa la Redeemed Gospel lililopo Nguluni Tala katika…
Soma Zaidi »WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Stergomena Tax, amewasihi wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki…
Soma Zaidi »SERIKALI imetaja nchi wanazodaiwa kupelekwa wasichana wa kitanzania kwenda kutumikishwa kingono. Ofisa Mwandamizi kutoka Sekretarieti ya Kitaifa ya Kuzuia na…
Soma Zaidi »VATICAN imeomba msamaha kwa Urusi baada ya Papa kudai makabila mawili yanayopigana katika operesheni ya kijeshi ya Urusi nchini Ukraine…
Soma Zaidi »RAIS wa Marekani Joe Biden ametangaza mipango ya kuzuru nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara hivi karibuni ikiwa ni…
Soma Zaidi »









