Kimataifa

Ruto ataka migogoro ya mipaka kutatuliwa

RAIS William Ruto wa Kenya ametoa wito kwa Rais wa Sudan, Salva Kiir kumaliza mzozo katika eneo la Upper Nile…

Soma Zaidi »

Urusi yaitisha Ukraine, yataka mazungumzo

URUSI imeitaka Ukrane kusalimisha maeneo yanayoshikiliwa na vikosi vya majeshi yake vinginevyo itaamua hatma ya ukrane wa namna wanayotaka wao.…

Soma Zaidi »

Dhoruba yaua 28 Marekani

WATU 28 wamekufa magharibi mwa Jimbo la New York, wengi wao kutoka Buffalo, wakati wa dhoruba kubwa ya msimu wa…

Soma Zaidi »

Pence akana kutaka kuwania urais

Makamu wa Rais wa zamani wa Marekani, Mike Pence hajawasilisha ombi la kugombea urais mwaka 2024 kwa mujibu wa mshauri…

Soma Zaidi »

Mafuriko yaua 13 Ufilipino

VIFO vya watu vilivyotokana na mafuriko vimefikia 13 huku zaidi ya 45,000 wakiokolewa na kuhifadhiwa kwenye vituo maalumu, wengi waliopotea…

Soma Zaidi »

Kalonzo, Ngole wataka sarafu EAC iharakishwe

MAKAMU wa Rais wa zamani wa Kenya, Kalonzo Musyoka amesisitiza umuhimu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kurejesha haraka matumizi…

Soma Zaidi »

‘Wafanyabiashara EAC tumieni fursa Tanzania’

WIZARA ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara imewaita wafanyabiashara katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), barani Afrika na kwingineko…

Soma Zaidi »

Papa Francis ahimiza kuwakumbuka maskini

PAPA Francis amewataka waumini kutafakari matumizi makubwa ambayo hufanywa kwenye sherehe za mwisho wa mwaka ikiwemo Krismasi, badala yake wawakumbuke…

Soma Zaidi »

Watu 10 wafariki katika mlipuko wa gari la mafuta

Watu 10 wamethibitishwa kufariki, huku wengine 27 wakijeruhiwa baada ya Lori la mafuta kulipuka katika mji wa Boksburg nchini Afrika…

Soma Zaidi »

Mtanzania adakwa na Dawa za Kulevya Afrika Kusini

MAMLAKA ya kudhibiti Dawa za Kulevya nchini Afrika Kusini imemkamata Ahmadi Mbwana Chonde (50) ambaye ni raia wa Tanzania akiwa…

Soma Zaidi »
Back to top button