Kimataifa

Viongozi wa dini DR Congo wakutana M23

DR CONGO : UJUMBE wa taasisi mbili za kanisa nchini Jamhuri wa Kidemokrasi ya Congo umekutana na waasi wa M23…

Soma Zaidi »

Misri , Jordan kushirikiana kuijenga GAZA

MISRI: Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri na Mfalme Abdullah II wa Jordan wamezungumza kwa njia ya simu, wakisisitiza msimamo…

Soma Zaidi »

Mkataba wa amani hatarini kuvunjika

SUDAN KUSINI : MAKAMU wa Rais wa Sudan Kusini, Riek Machar, amesema mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanyika mapema wiki…

Soma Zaidi »

Maafisa 450 wa serikali wasimamishwa kazi

LIBERIA : RAIS wa Liberia, Joseph Boakai, amewaondoa kazini zaidi ya maafisa 450 wa serikali kwa kushindwa kutangaza mali zao…

Soma Zaidi »

Afrika kuchagua mwenyekiti mpya

ADDIS ABABA : MATAIFA 55 ya Umoja wa Afrika yatakutana Ijumaa mjini Addis Ababa kwa ajili ya kumchagua mwenyekiti mpya,…

Soma Zaidi »

Netanyahu atishia kurejesha mapigano

ISRAEL : WAZIRI MKUU wa Israel, Benjamin Netanyahu, ametishia kujitoa kwenye makubaliano ya kusitisha mapigano katika ukanda wa Gaza, akisema…

Soma Zaidi »

Mfalme Abdullah II akataa pendekezo la Marekani

JORDAN : MFALME Abdullah II wa Jordan amekataa pendekezo la Marekani la kutaka kuwahamisha Wapalestina, baada ya mazungumzo na Rais…

Soma Zaidi »

Viongozi, wadau wa Tehama msiogope teknolojia ya AI

MAREKANI : MAKAMU wa Rais wa Marekani, J.D. Vance, amewaondoa hofu viongozi duniani na wadau wengine wa teknolojia ya akili…

Soma Zaidi »

Idadi ya wagonjwa wa EBOLA wafikia tisa

UGANDA: SERIKALI ya Uganda imetangaza kuwa idadi ya watu walioambukizwa ugonjwa wa Ebola imefikia tisa kutoka watu watatu tangu ilipobaini…

Soma Zaidi »

USAID kusimamishwa , nchi 20 kuathirika

MAREKANI : KITUO cha Maendeleo ya Kimataifa kilichoko Washington, CGD, kimeonya kuwa kusitishwa kwa misaada ya kigeni kutoka Marekani kunaweza…

Soma Zaidi »
Back to top button