Kimataifa

Guterres akataa pednekezo la Trump

NEW YORK : KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amelikataa pendekezo la Rais wa Marekani, Donald Trump, la…

Soma Zaidi »

Malawi kuondoa Jeshi lake Congo

MALAWI: RAIS wa Malawi, Lazarus Chakwera, amemuagiza Kamanda wa Jeshi la nchi hiyo kujiandaa kuondoa majeshi ya Malawi kutoka eneo…

Soma Zaidi »

RAMAPHOSA : Serikali ya Muungano inayumba

JOHANESBURG : SERIKALI  ya muungano wa kitaifa ya Afrika Kusini inakumbwa na mizozo kutokana na tofauti kati ya vyama tanzu…

Soma Zaidi »

Kundi la kwanza la wahamiaji lapelekwa Guantanamo Bay

MAREKANI : SERIKALI ya Marekani imetuma kundi la kwanza la wahamiaji katika kizuizi cha Guantanamo Bay, hatua inayokuja baada ya…

Soma Zaidi »

CONGO: Mapigano yameanza tena kusini mwa Kivu

CONGO : MAPIGANO yamezuka tena kati ya waasi wa M23 na vikosi vya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo…

Soma Zaidi »

Wafungwa 100 wa kike wabakwa na kuchomwa moto Goma

CONGO : ZAIDI ya wafungwa 100 wa kike walibakwa na kisha kuchomwa moto wakiwa hai wakati wa hali ya machafuko…

Soma Zaidi »

Tupo tayari kufanya mazungumzo- Iran

IRAN : WAZIRI wa mambo ya nje wa Iran, Abbas Araghchi amesema nchi yake inaweza kuwa tayari kuzungumza na utawala…

Soma Zaidi »

Benki Kuu ya Uganda yapoteza Bilioni 62

UGANDA: POLISI nchini Uganda imethibitisha kuwashikilia maafisa tisa wa Wizara ya Fedha kwa uchunguzi wa tuhuma za kudukua mifumo ya…

Soma Zaidi »

Haturejeshi uhusiano na Israel bila Palestina

RIYADH:SERIKALI  ya Saudi Arabia imesema haitaanzisha uhusiano na Israel hadi taifa la Palestina. Mwanamfalme Mohammed bin Salman amethibitisha msimamo huu,…

Soma Zaidi »

Hamas yakosoa pendekezo la Trump kuichukua Gaza

PALESTINA : MATAMSHI ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu pendekezo la Marekani kuchukua udhibiti wa Gaza yamekosolewa vikali na…

Soma Zaidi »
Back to top button