Kimataifa

Marekani kuiwekea vikwazo Afrika ya Kusini

MAREKANI: RAIS wa Marekani Donald Trump amesema atatimizia ahadi yake ya kuiadhibu Afrika Kusini kwa kusaini amri ya rais ya…

Soma Zaidi »

Congo yatoa shukrani mkutano wa SADC.EAC

CONGO : SERIKALI ya DRC imetoa shukrani kwa mkutano wa pamoja wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya…

Soma Zaidi »

CONGO : Wanajeshi 75 kizimbani kukimbia mapigano

CONGO : WANAJESHI  75 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wanatarajiwa kupandishwa kizimbani leo kwa tuhuma za kukimbia mapigano,…

Soma Zaidi »

GUTERRES, akaribisha kuundwa kwa serikali mpya Lebanon

NEW YORK : KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amekaribisha kuundwa kwa serikali mpya nchini Lebanon na kuthibitisha…

Soma Zaidi »

Tumbili asababisha kukatika kwa umeme Sri Lanka

COLOMBO, SRILANKA : WAZIRI wa Nishati wa Sri Lanka, Kumara Jayakody, ameeleza jinsi tukio la tumbili kuingia kwenye kituo cha…

Soma Zaidi »

Trump kutangaza ushuru wa 25% kwa biashara ya chuma na aluminium

WASHINGTON, D.C: RAIS wa Marekani, Donald Trump, amethibitisha kuwa atatangaza ushuru wa 25% kwa biashara ya chuma na aluminium zote…

Soma Zaidi »

Miili 50 iliyozikwa pamoja yagundulika Libya

LIBYA: MAMLAKA ya Libya imegundua miili 50 iliyokuwa imezikwa kwa pamoja kwenye makaburi mawili katika Jangwa la Kusini upande wa…

Soma Zaidi »

Aukana uraia agombee urais 

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Benki ya Credit Suisse, Tidjane Thiam ,62, ameukana uraia wake wa Ufaransa ili kutimiza masharti…

Soma Zaidi »

Mkongwe Leonard Mbotela afariki dunia

MTANGAZAJI mkongwe wa Kenya, Leonard Mambo Mbotela, amefariki dunia. Mkwe wake, Anne Mbotela, amethibitisha habari za kicho hicho akieleza kuwa…

Soma Zaidi »

Serikali yathibitisha misaada ya Marekani kusitishwa

DODOMA : WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameelezea msimamo wa Serikali ya Tanzania kuhusu mabadiliko ya sera za misaada ya Marekani…

Soma Zaidi »
Back to top button