Kimataifa

Trump akiri hali si shwari Israel, Hamas

RAIS wa Marekani, Donald Trump amesema hana uhakika na kuwepo kwa amani ya kudumu kati ya Israel na Hamas licha…

Soma Zaidi »

Waasi wa M23 watangaza usitishaji wa mapigano

CONGO : WAASI  wa M23, wanaodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, wametangaza usitishaji wa mapigano kuanzia leo katika eneo la mashariki…

Soma Zaidi »

Musk: USAID ni shirika la kihalifu

MAREKANI – Mmiliki wa kampuni ya teknolojia, Elon Musk amesema anaamini Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) ni…

Soma Zaidi »

Shambulio la M23 laua wanajeshi wawili wa Tanzania

Vikundi vya Tanzania vilivyopo DRC vipo salama, imara na vinaendelea kutekeleza majukumu yake

Soma Zaidi »

Jeshi la Congo, Burundi wazuia M23 kuingia Bukavu

CONGO : WANAJESHI  wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wakisaidiana na jeshi la Burundi, wamefanikiwa kufanya juhudi za pamoja…

Soma Zaidi »

Israel yawaachilia wafungwa 183 wa Kipalestina

ISRAEL : SERIKALI ya Israel imewaachilia huru wafungwa 183 wa Kipalestina, muda mfupi baada ya Wanamgambo wa Hamas kuwaachilia huru…

Soma Zaidi »

UJERUMANI : Aliyewahi kuwa Rais Horst Köhler afariki dunia

UJERUMANI : ALIYEWAHI KUWA Rais wa Ujerumani Horst Köhler amefariki dunia  leo jumamosi (01.02.2025) baada ya kuugua kwa muda mfupi.…

Soma Zaidi »

Myanmar yaongeza muda wa tahadhari

MYANMAR: SERIKALI ya kijeshi ya Myanmar yarefusha hali ya tahadhari kwa miezi sita zaidi, huku ikiwa ni miaka minne tangu…

Soma Zaidi »

UPDF yajipanga kujihami mapigano Congo

UGANDA: JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF) limetangaza leo kwamba wanajeshi wake walioko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia…

Soma Zaidi »

Congo yaomba Rwanda kuwekewa vikwazo

CONGO: JAMHURI ya Kidemokrasi ya Congo imetoa wito Rwanda iwekewe vikwazo na kupunguziwa misaada na pia isimamishwe ushiriki wake katika…

Soma Zaidi »
Back to top button