Kimataifa

KENYA : Sheria ya kujitoa uhai yaombwa kufutwa

KENYA : MAHAKAMA Kuu ya Kenya imeamua kuwa kifungu cha 226 cha Kanuni ya Adhabu kinachoharamisha kujitoa uhai kinakiuka katiba…

Soma Zaidi »

KAGAME: Rwanda haihusiki kuifadhili M23

RWANDA : RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amesisitiza kuwa serikali ya Rwanda haitoi msaada kwa wapiganaji wa kundi la M23…

Soma Zaidi »

Nicolas Maduro kuapishwa tena kwa muhula wa tatu

VENEZUELA : RAIS Nicolas Maduro wa Venezuela anaapishwa leo kwa muhula wake wa tatu wa miaka sita, kufuatia uchaguzi wa…

Soma Zaidi »

Venancio Mondlane arejea Msumbiji

MSUMBIJI : KIONGOZI wa Upinzani nchini Msumbiji,Venancio Mondlane amerejea nchini humo Alhamisi kutoka uhamishoni wakati vikosi vya usalama vikifyatua mabomu…

Soma Zaidi »

CONGO: Zaidi ya watu 170 wahukumiwa kifo

CONGO : SHIRIKA la kutetea haki za binadamu la Amnesty International, limetoa wito kwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya…

Soma Zaidi »

Congo waandamana kupinga wizi wa madini

CONGO: MAMIA ya watu wameamua kuandamana nchini DR CONGO kupinga uchimbaji haramu wa madini unaoendelea katika eneo la mashariki mwa…

Soma Zaidi »

Marekani Ufaransa kuijadili mashariki ya kati

  UFARANSA: WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani anayemaliza muda wake Antony Blinken ameanza ziara ya kikazi nchini  Ufaransa.…

Soma Zaidi »

Brambilla ndiye kiongozi wa kwanza mwanamke Vatican

VATICAN : KIONGOZI mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amemchagua Simona Brambilla kuwa miongoni mwa viongozi wakuu katika moja…

Soma Zaidi »

Vyombo vya usalama vyajipanga kumkamata Yoon Suk

KOREA KUSINI : RAIS wa Korea Kusini aliyesimamishwa kazi, Yoon Suk Yeol, anakabiliwa na jaribio jipya la kukamatwa baada ya…

Soma Zaidi »

Nitamaliza vita vya Urusi na Ukraine – Trump

MAREKANI : RAIS mteule wa Marekani, Donald Trump, amepanga kukutana na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, mara baada ya kuapishwa…

Soma Zaidi »
Back to top button