Kimataifa

Syria kukabiliwa na uhaba wa fedha za kigeni

SYRIA : WAZIRI mkuu mpya wa Syria Mohammed al-Bashir amewataka raia wote wa Syria wanaoishi nje ya nchi warejee nyumbani…

Soma Zaidi »

“Nyumba za watumishi zijengwe karibu na sehemu za kazi”

MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango amesema ili kuufanya Mpango wa Makazi kwa Watumishi wa Umma kuwa endelevu, ni muhimu…

Soma Zaidi »

HAITI : Marekani yalaani mauaji vikongwe 180

HAITI : MAREKANI imelaani  vikali mauaji ya watu 200 ambayo yanadaiwa kufanywa na wanachama wa magenge ya uhalifu nchini Haiti.…

Soma Zaidi »

SOMALIA: Viongozi wa Jubaland bado wanapigana na jeshi

SOMALIA : MAPIGANO yamezuka tena kati ya vikosi kutoka jimbo la Jubaland lenye utawala wake nchini Somalia na vikosi vya…

Soma Zaidi »

Wanajeshi watatu DRC watuhumiwa kwa mauaji

CONGO : SHIRIKA la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Amnesty International  limewatuhumu maafisa wakuu wa jeshi la Jamhuri…

Soma Zaidi »

Polisi wavamia ofisi ya Rais Yoon Suk

KOREA KUSINI : POLISI nchini Korea Kusini wamevamia ofisi ya rais mjini Seoul, kufuatia jaribio la Rais Yoon Suk Yeol…

Soma Zaidi »

Watu 127 wamepoteza maisha kufuatia mapigano Sudan

SUDAN: WATU 127 wameuawa nchini Sudan kufuatia mapigano kati ya jeshi na wanamgambo wa RSF. Karibu watu 60 wameuawa katika…

Soma Zaidi »

Uchumi wa Kenya umeshuka 5.0% hadi 4.7%

KENYA : BENKI ya Dunia imepunguza makadirio ya ukuaji wa uchumi wa Kenya kwa mwaka huu hadi asilimia 4.7 kutoka…

Soma Zaidi »

Besigye afikishwa mahakama ya jeshi

UGANDA : MWANASIASA mkongwe wa Uganda Kizza Besigye na mshtakiwa mwenzake, Obeid Lutale wamefikishwa katika mahakama ya kijeshi mjini Kampala,…

Soma Zaidi »

Kesi ya rushwa yamkabili Benjamin Netanyahu

ISRAEL : WAZIRI Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amewasilisha ushahidi mahakamani leo wa tuhuma za rushwa. Waendesha mashtaka nchini humo…

Soma Zaidi »
Back to top button