Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Tanzania yajizatiti kuzuia matumizi ya zebaki

DAR ES SALAAM – Tanzania imezidisha juhudi za kupunguza matumizi yatokanayo na zebaki ambayo hutumiwa sana na wachimbaji wadogo wa…

Soma Zaidi »

‘Tanzania mbioni kuzalisha madini ya Niobium’

TANZANIA ipo mbioni kuanza uzalishaji wa madini ya Niobium ambayo ni moja ya madini adimu yanayotumika katika mitambo mbalimbali ikiwemo…

Soma Zaidi »

Wilaya zote Mtwara kufikiwa na mitungi ya gesi

MTWARA: MKOA wa Mtwara unatarajia kupokea mitungi ya gesi 1675 ambayo itasambazwa katika wilaya zote za mkoa huo na kuuzwa…

Soma Zaidi »

Ukarabati Songo Songo kupaisha uzalishaji gesi asilia

LINDI: Ukarabati wa kisima cha gesi asilia unaoendelea katika Kitalu cha Songo Songo mkoani Lindi unatarajiwa kuongeza uzalishaji wa gesi asilia…

Soma Zaidi »

Puma Energy wafagiliwa Tuzo za Mawakala

WIZARA ya Nishati imetoa rai kwa mashirika na wadau mbalimbali nchini wakiwemo Puma Energy Tanzania kushirikiana kufanikisha azma ya Serikali…

Soma Zaidi »

Wizara yaitaka PURA kujipanga utangazaji vitalu vya mafuta, gesi

Tanga: Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati (anayeshughulikia masuala ya mafuta na gesi), Dk James Mataragio ametoa rai kwa Mamlaka…

Soma Zaidi »

Mradi utafiti mafuta, gesi wafikia 40%

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema Mradi wa Utafiti wa Mafuta ghafi na gesi kwenye Bonde la Eyasi…

Soma Zaidi »

Huduma upakuaji mafuta kuboreshwa bandarini

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) itaendelea kuboresha huduma za upakuaji mafuta ili kupunguza muda wa meli kusubiri…

Soma Zaidi »

Serikali kurudisha minada ya madini ya vito

SERIKALI imesema inarudisha minada ya ndani ya madini ya vito itakayofanyika katika maeneo ya uzalishaji hususan Mirerani, Mahenge, Tunduru, Dar…

Soma Zaidi »

Ushiriki wazawa uchimbaji madini waleta mageuzi

MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Dk Venance Mwasse, amesema serikali imeleta mageuzi makubwa ndani ya sekta…

Soma Zaidi »
Back to top button