Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Serikali yaingiza bilioni 287 sekta ya madini

DODOMA : WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde  amesema serikali imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 287 katika kipindi cha robo ya kwanza,…

Soma Zaidi »

Tanzania yajipanga kuteka soko la nishati safi

WAZIRI wa Madini ,Anthony Mavunde amesema Tanzania imejipanga kuteka soko la uuzaji wa madini ya kimkakati yanayozalisha nishati safi yanayohitajika…

Soma Zaidi »

Mtaalamu ashauri taarifa sahihi uchimbaii mdogo

PROFESA Mshiriki wa Maendeleo ya Uchumi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof Abel Kinyondo ameishauri Serikali kutoa taarifa sahihi…

Soma Zaidi »

TFS yaanza kutoa chanjo ya sumu ya nyuki

WAKALA wa Huduma za Misitu (TFS) imewataka watanzania kujifunza kutumia sumu ya nyuki kama njia mbadala ya kuimarisha kinga dhidi…

Soma Zaidi »

RC Dar aifagilia Puma Energy kuhusu nishati safi

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uamuzi wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania kutoa mitungi 1,000…

Soma Zaidi »

Bukombe yapokea mitungi ya gesi ya ruzuku 1,600

BAADHI ya wakazi wa halmashauri ya wilaya ya Bukombe mkoani Geita wamepokea mitungi ya gesi ya kupikia 1,600 inayouzwa kwa…

Soma Zaidi »

Wachimbaji madini Manyara watakiwa kushirikiana

MKUU wa Mkoa wa Manyara, Quinee Sendiga amewataka wachimbaji wa madini katika Mkoa wa Manyara kushirikiana katika kufanya kazi za…

Soma Zaidi »

Benki ‘yawamwagia’ walimu mitungi ya gesi

ARUSHA: Katika kuadhimisha Siku ya Walimu Duniani 2024, Exim Bank Tanzania imechangia jumla ya mitungi ya gesi 1,000 kwa walimu…

Soma Zaidi »

REA waitika Samia Kilimo Biashara Expo 2024

GAIRO, Morogoro: WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) itashiriki katika Maonesho ya Samia KILIMO Biashara Expo 2024 kwa msimu wa tatu…

Soma Zaidi »

Wajadili uchorongaji visima Mnazi Bay

MAMLAKA ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imekutana na uongozi wa Kampuni ya Maurel et Prom Exploration Production…

Soma Zaidi »
Back to top button