Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mradi utafiti mafuta, gesi wafikia 40%

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema Mradi wa Utafiti wa Mafuta ghafi na gesi kwenye Bonde la Eyasi…

Soma Zaidi »

Huduma upakuaji mafuta kuboreshwa bandarini

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) itaendelea kuboresha huduma za upakuaji mafuta ili kupunguza muda wa meli kusubiri…

Soma Zaidi »

Serikali kurudisha minada ya madini ya vito

SERIKALI imesema inarudisha minada ya ndani ya madini ya vito itakayofanyika katika maeneo ya uzalishaji hususan Mirerani, Mahenge, Tunduru, Dar…

Soma Zaidi »

Ushiriki wazawa uchimbaji madini waleta mageuzi

MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Dk Venance Mwasse, amesema serikali imeleta mageuzi makubwa ndani ya sekta…

Soma Zaidi »

Serikali yaingiza bilioni 287 sekta ya madini

DODOMA : WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde  amesema serikali imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 287 katika kipindi cha robo ya kwanza,…

Soma Zaidi »

Tanzania yajipanga kuteka soko la nishati safi

WAZIRI wa Madini ,Anthony Mavunde amesema Tanzania imejipanga kuteka soko la uuzaji wa madini ya kimkakati yanayozalisha nishati safi yanayohitajika…

Soma Zaidi »

Mtaalamu ashauri taarifa sahihi uchimbaii mdogo

PROFESA Mshiriki wa Maendeleo ya Uchumi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof Abel Kinyondo ameishauri Serikali kutoa taarifa sahihi…

Soma Zaidi »

TFS yaanza kutoa chanjo ya sumu ya nyuki

WAKALA wa Huduma za Misitu (TFS) imewataka watanzania kujifunza kutumia sumu ya nyuki kama njia mbadala ya kuimarisha kinga dhidi…

Soma Zaidi »

RC Dar aifagilia Puma Energy kuhusu nishati safi

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uamuzi wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania kutoa mitungi 1,000…

Soma Zaidi »

Bukombe yapokea mitungi ya gesi ya ruzuku 1,600

BAADHI ya wakazi wa halmashauri ya wilaya ya Bukombe mkoani Geita wamepokea mitungi ya gesi ya kupikia 1,600 inayouzwa kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button