Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Wachezaji 28 Stars kuingia kambini

KIKOSI cha wachezaji 28 wa timu ya Taifa, (Taifa Stars) kitaingia kambini Juni 2 kwa ajili mchezo wa kirafiki dhidi…

Soma Zaidi »

AZIZ KI: Atakumbukwa kwa mengi Yanga

WAFUATILIAJI wa soka Tanzania, wengi wao watakumbuka utambulisho wa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Stephane Aziz Ki uliofanyika usiku kwa…

Soma Zaidi »

Twiga Stars yajiweka sawa kuivaa DR Congo

DAR ES SALAAM: KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya wanawake, Twiga Stars, Bakari Shime, amesema kikosi chake kimejiandaa ipasavyo…

Soma Zaidi »

Edna Lema afikiria kuachana na ukocha

DAR ES SALAAM: KOCHA Msaidizi wa Yanga Princess, Edna Lema, ametangaza wazi kuwa huenda akastaafu kazi ya ukocha ndani ya…

Soma Zaidi »

Dar Leopards kupimana na Les Gaulois Jumamosi

DAR ES SALAAM– TIMU ya mchezo wa Rugby au Raga ya DAR Leopards inatarajia kuumana na Les Gaulois de Nairobi…

Soma Zaidi »

Bondia Rahim atamba hakuna anayemuweza

BONDIA chipukizi Rahim Omar amewapa changamoto mabondia waliopo kwenye uzani wake na kuwaita kupambana nao ikiwa wanajiona wao ni bora…

Soma Zaidi »

Tunahuzunika pamoja!

ZANZIBAR: Tulifurahi pamoja. Tunazunika pamoja! Pengine ndivyo unavyoweza kuzungumzia matokeo ya mchezo wa marudiano fainali Kombe la Shirikisho Afrika kati…

Soma Zaidi »

Mapumziko: Simba 1 Berkane 0

ZANZIBAR; SIMBA 1 RS Berkane 0 hivi sasa ni mapumziko Uwanja wa New Amaan Complex mchezo wa fainali Kombe la…

Soma Zaidi »

Aziz Ki atambulishwa Wydad

MOROCCO; KIUNGO mshambuliaji wa Yanga ya Dar es Salaam, Aziz Ki leo Mei 25, 2025 ametambulishwa rasmi katika timu ya…

Soma Zaidi »

Watanzania wanawaamini

ZANZIBAR; Wachezaji wa Simba wakipasha mwili moto muda mfupi kabla ya mchezo dhidi ra RS Berkane leo Uwanja wa New…

Soma Zaidi »
Back to top button