Bunge

Serikali: Tutatengeneza ajira milioni 7

DAR ES SALAAM: Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kutengeneza nafasi za kazi zaidi ya milioni 7 ifikapo 2025, ikisisitiza umuhimu…

Soma Zaidi »

Barabara Tanzania, nchi jirani kujengwa kwa awamu

SERIKALI imesema inaendelea na ujenzi na ukarabati wa barabara zinazounganisha Tanzania na nchi zote za jirani ikiwemo DR Congo kwa…

Soma Zaidi »

Serikali, PPP kushirikiana ujenzi wa barabara

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali imepanga kuanza ujenzi wa barabara kwa ushirikiano wa Sekta Binafsi na Umma (PPP)…

Soma Zaidi »

Halmashauri zaelekezwa kuwapa mafuta wenye ualbino

​WAZIRI wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Dk Festo Dugange amesema serikali imezielekeza halmashauri zote…

Soma Zaidi »

“Watanzania wana shauku kutumia SGR”

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema Watanzania wanayoshauku kubwa ya kuona matumizi ya treni ya Mwendokasi…

Soma Zaidi »

Majaliwa atoa maelekezo kukabiliana na El-Nino

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali itaendelea kuchukua hatua stahiki kukabiliana na mvua za El-Nino sambamba na kujiandaa kukabiliana changamoto…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Mapato robo ya kwanza Sh tri.9.6

KATIKA kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2023/2024, mapato kutoka vyanzo vyote vya ndani na nje yalifikia Sh trilioni…

Soma Zaidi »

Mkurugenzi Igunga asimamishwa kazi kwa ubadhirifu

DODOMA; WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa…

Soma Zaidi »

Posho, mishahara ya wabunge ikatwe – Kunti

DODOMA; MBUNGE wa Viti Maalum, Kunti Majala amependekeza kwa Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson kuwa wabunge wasilipwe posho za…

Soma Zaidi »

Ole Sendeka: Jumatatu nataja wezi

DODOMA; MBUNGE wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka amesema Jumatatu atawataja wezi waliohusika na upotevu wa pesa za Kampuni ya ufuaji…

Soma Zaidi »
Back to top button