Bunge

Serikali yatafakari kugawa Jimbo la Mbeya Mjini

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga ameliambia Bunge kuwa serikali inatafakari maombi ya wabunge…

Soma Zaidi »

‘Watalii 35,562 walitembelea hifadhi za bahari’

SERIKALI imesema hadi kufikia Aprili, 2023 watalii 35,562 walitembelea Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu. Akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato…

Soma Zaidi »

Ujenzi mialo ya Kayenze, Igabiro, Igombe kukamilishwa

SERIKALI imesema katika mwaka 2023/2024,itakamilisha ujenzi wa mialo minne. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega…

Soma Zaidi »

197,763  washiriki shughuli za uvuvi

SERIKALI imesema shughuli za uvuvi zinafanywa zaidi na wavuvi wadogo kwenye maji ya asili, ambapo huchangia takriban asilimia 95 ya…

Soma Zaidi »

Uzalishaji maziwa wafikia lita bilioni 3.6

UZALISHAJI wa maziwa nchini umeongezeka kutoka lita bilioni 3. 4 mwaka 2021/2022 hadi kufikia lita bilioni 3.6 mwaka 2022/2023 sawa…

Soma Zaidi »

Uzalishaji nyama waongezeka

UZALISHAJI wa nyama umeongezeka kwa asilimia 4.3 kutoka tani 769,966.7 mwaka 2021/2022 hadi tani 803,264.3 mwaka 2022/2023. Kauli hiyo imetolewa…

Soma Zaidi »

Wizara kuanzisha skimu za umwagiliaji mashamba ya serikali

WIZARA ya Mifugo na Uvuvi inakusudia kuanzisha skimu za umwagiliaji katika mashamba ya mifugo ya serikali na ujenzi wa maghala…

Soma Zaidi »

Prof Muhongo: Mchango wa sekta ya madini bado mdogo

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo amewataka wabunge kuacha kushangilia mabilioni ya sekta ya madini kwani fedha hizo ni ndogo…

Soma Zaidi »

Masoko ya madini yaingiza Sh trilioni 1.7/-

WAZIRI wa Madini, Dk Doto Biteko amesema masoko ya madini yameingiza Sh trilioni 1.68 kutokana na mauzo ya madini katika…

Soma Zaidi »

Miundombinu vyuo vikuu kukarabatiwa

SERIKALI imetangaza kufanya ukarabati wa miundombinu chakavu katika vyuo vikuu vya umma kote nchini, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia…

Soma Zaidi »
Back to top button