Siasa

Waomba kusogezewa vituo kujiandikisha uchaguzi

WAFANYABIASHARA wa soko la Manundu na watumiaji wa stendi ya Kijazi wilayani Korogwe wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dk…

Soma Zaidi »

Mchengerwa-Hakuna vituo bandia uandikishaji

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI-Mohamed Mchengerwa amesema taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu uwepo…

Soma Zaidi »

SUMA JKT, Comoro kuendeleza biashara

SHIRIKA la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA-JKT) limeingia makubaliano ya kibiashara na Kisiwa cha Ngazidja nchini Comoro…

Soma Zaidi »

Tanzania, Hispania zaimarisha diplomasia

SERIKALI ya Tanzania imeendelea kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia na Serikali ya Hispania katika sekta za utalii, afya, maji, miundombinu, usafi…

Soma Zaidi »

Dk Mpango ashiriki kujiandikisha Buhigwe

MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango wameshiriki zoezi la Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga…

Soma Zaidi »

Mhandisi Ndolezi aanza ziara Kigoma Kusini

WAZIRI Kivuli wa ACT Wazalendo Ofisi ya Waziri Mkuu -Bunge Sera Vijana Kazi na Ajira Mhandisi Ndolezi Petro ameanza ziara…

Soma Zaidi »

Dk Biteko ajiandikisha uchaguzi mitaa

NAIBU Waziri Mkuu, Waziri wa Nishati na Mbunge wa Bukombe, Dk Dotto Biteko Ijumaa ya Oktoba 11, 2024 ameshiriki zoezi…

Soma Zaidi »

Bukoba waitwa kujiandikisha uchaguzi mitaa

KAGERA: MKUU wa Wilaya Bukoba, Erasto Sima amewahimiza wakazi wa wilaya hiyo kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kujiandisha kwenye…

Soma Zaidi »

Wananchi Morogoro wajiandikisha uchaguzi mitaa

WANANCHI katika baadhi ya mitaa ya Manispaa ya Morogoro wamejitokeza siku ya kwanza ya kujiandikisha katika vituo vya wapiga kura…

Soma Zaidi »

Misri yasherehekea ushindi wa Oktoba

DAR ES SALAAM — Mwambata wa Ulinzi katika Ubalozi wa Misri nchini Tanzania umesherehekea Alhamis tukio la Ushindi wa Vita…

Soma Zaidi »
Back to top button