Siasa

Kiongozi ACT ajiandikisha uchaguzi mitaa

KIONGOZI wa Chama Cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amejiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Zoezi hilo limefanyika…

Soma Zaidi »

Abdul Nondo ajiandikisha daftari za mkazi

MWENYEKITI wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Abdul Nondo leo Oktoba 20 amejiandikisha katika daftari la mkazi kwa…

Soma Zaidi »

Uchaguzi mitaa kutoa viongozi bora

SERIKALI imesema itahakikisha uchaguzi wa Serikali za Mitaa unakuwa jumuishi na shirikishi Ili kupata viongozi bora ambao watakaoweza kushirikiana katika…

Soma Zaidi »

Wizara ya afya yaingia ushirikiano afya ya uzazi

WIZARA ya Afya Tanzania na Wakala wa Maendeleo Afrika (AUDA NEPAL) leo wamesaini mkataba wa ushirikiano katika maeneo matano ya…

Soma Zaidi »

Wanafunzi Geita wahimizwa ubalozi uchaguzi mitaa

WANAFUNZI wa shule za sekondari mkoani Geita wamehimizwa kuwa mabalozi wa kuwahamasisha na kuwaelimisha wazazi wao faida za kujiandikisha na…

Soma Zaidi »

Kamati yaridhishwa ujenzi kituo cha zimamoto

KAMATI ya Kudumu ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imeridhishwa na ujenzi wa kituo cha zimamoto kilichopo Mtumba…

Soma Zaidi »

CWT wahamasisha kujiandikisha uchaguzi mitaa

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimehamasisha wananchi kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa ikiwa ni pamoja na kujitokeza kwa wingi…

Soma Zaidi »

Aweso ahimiza uchaguzi serikali za mitaa

MBUNGE wa Jimbo la Pangani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jumaa Aweso amesema Tanzania ni nchi ya kidemokrasia hivyo uchaguzi…

Soma Zaidi »

Asilimia 95.9 Ngorongoro wajiandikisha uchaguzi

MSIMAMIZI wa uchaguzi wilayani Ngorongoro, Murtallah Mbillu amesema kuwa wilaya hiyo tangu zoezi la uandikishaji lilipoanza hadi kufikia jana wameandikisha…

Soma Zaidi »

RC Kigoma ahamamisha wananchi uchaguzi mitaa

MKUU wa Mkoa Kigoma, Thobias Andengenye amewata wananchi wa mkoa huo kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la wakaazi kwa ajili ya…

Soma Zaidi »
Back to top button