Siasa

Satura: Wasanii hamasisheni uchaguzi mitaa

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Jomaary Satura amewahimiza wasanii wa manispaa hiyo kutumia mitandao yao ya kijamii kuwahamasisha…

Soma Zaidi »

Wanasiasa acheni kuhamasisha siasa za udini

ZANZIBAR : KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Organazesheni CCM Zanzibar Omar Ibrahim Kilupi amewasihi viongozi wa dini nchini…

Soma Zaidi »

Mwanachama Chadema ajiunga ACT-Wazalendo

ALIYEKUWA mgombea ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Songea Mjini mwaka 2015 na Mwenyekiti Mwanzilishi wa…

Soma Zaidi »

Asas: Vijana wamtetee Rais Samia

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Salim Asas, amewasihi vijana wa chama hicho wasitumie mitandao…

Soma Zaidi »

CCM yampongeza Samia ukemeaji utekaji

DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa hotuba yake aliyoitoa mkoani Kilimanjaro ya kukemea…

Soma Zaidi »

Tanzania, Saudi Arabia kukabiliana na uhalifu

Soma Zaidi »

Ester Thomas: Juhudi zinahitajika kulinda demokrasia

NAIBU Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Bara, Ester Thomas ametoa wito wa kuimarisha juhudi za kulinda demokrasia nchini.…

Soma Zaidi »

Wanachama CUF waitwa ACT

KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amewakaribisha wanachama na wafauasi wa Chama cha Wananchi (CUF) kujiunga na…

Soma Zaidi »

China yakubali kuimarisha amani duniani

CHINA : WAZIRI wa Ulinzi wa China Dong Jun, amesema China itaimarisha ushirikiano wa kijeshi na nchi jirani, na kwamba…

Soma Zaidi »

Tutawataja mafisadi kwenye korosho, ufuta – Ado

CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema kuwa kinafuatilia kwa karibu na kuchunguza vitendo vya ufisadi katika usambazaji wa pembejeo za kilimo…

Soma Zaidi »
Back to top button