Kanda

Polisi yataja Bodaboda chanzo ajali ya Naibu Waziri

JESHI la Polisi nchini limesema ajali iliyotokea Aprili 26, 2023 ikimuhusisha Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Dk Festo Dugange…

Soma Zaidi »

Mchengerwa atoa maelekezo wanyama kuvamia makazi

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa amewataka watendaji wa wizara yake kuwatumia askari waliohitimu mafunzo ya awali ya kijeshi…

Soma Zaidi »

Washukuru ujenzi barabara Vikonge-Uvinza

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi, wameishukuru serikali kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara…

Soma Zaidi »

Mawaziri nchi 14 kujadili michezo Arusha

MAWAZIRI wa michezo kutoka nchi 14 za Kanda ya IV ya Afrika wanatarajia kukutana Jijini Arusha kuanzia Mei mosi mwaka…

Soma Zaidi »

Mambo yazidi kunoga Bwawa la Nyerere

WAZIRI wa Nishati January Makamba amesema wameridhishwa na kasi ya ujazaji maji Bwawa la kuzalisha Umeme la Mwalimu Nyerere Hydro…

Soma Zaidi »

TASAF yachochea ujenzi nyumba bora Kigoma

UHAWILISHAJI fedha unaofanywa na mpango wa kunusuru kaya masikini nchini (TASAF) unaelezwa kuwa kichocheo kikubwa kwa walengwa wa mpango wenye…

Soma Zaidi »

Mfumo usaili wa ajira kielektroniki serikalini waiva

Mfumo wa usaili kielektroniki kwa waombaji ajira serikalini, utaanza kutumika mwanzoni mwa mwaka ujao wa fedha, ili kumuwezesha kila mmoja…

Soma Zaidi »

Pinda ataka teknolojia zitakazosaidia wafugaji

Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Kilimo Tanzania, amevishauri vituo vya utafiti wa…

Soma Zaidi »

Mlele wafanya jambo miaka 59 ya Muungano

HALMASHAURI ya Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi leo Aprili 24, 2023,  imeanza maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa…

Soma Zaidi »

Serikali yaanza maandalizi ujenzi wa daraja mto Mngeta

SERIKALI kupitia Wakala  ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), imefanya upimaji wa udongo  na usanifu uliokamilika kwa ajili ya…

Soma Zaidi »
Back to top button