Kanda

Vyuo vya utumishi kuboreshwa

SERIKALI imesema kuwa imejipanga kuboresha vyuo vya utumishi  wa umma nchini viweze kuendana na mabadiliko yaliyopo, ikiwemo kutoa wahitimu watakaoweza…

Soma Zaidi »

SUA yapata mashine mpya kuchakata mazao ya misitu

CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Morogoro (SUA), kimenunua mashine mpya ya kuchakata mazao ya misitu yenye thamani ya Sh…

Soma Zaidi »

‘Hekari 400,000 za misitu hupotea kila mwaka’ 

TAKRIBANI hekari 400,000 za misitu nchini zinatazamiwa kupotea kila mwaka kutokana na ukataji wa miti unaochochewa na shughuli mbalimbali za binadamu…

Soma Zaidi »

Jengo la kuhifadhia vifaa tiba lateketea

JENGO la kuhifadhia vifaa tiba na dawa zilizoisha muda wake mkabala na hospitali teule ya rufaa ya Mkoa wa Geita…

Soma Zaidi »

Walalamikia mitaro ya maji machafu Mpanda

MWENYEKITI wa Mtaa wa Rungwa, Kata ya Kazima Manispaa ya Mpanda, mkoani Katavi,  Mwelela Nkokwa, amesema suala la mitaro ya…

Soma Zaidi »

Nape mgeni rasmi mkutano wa kitaaluma TEF

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape, Nnauye anatarajia kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mkutano wa 12…

Soma Zaidi »

‘Zuieni taa za uvuvi zilizotengenezwa kienyeji’

JUMUIYA ya vyama vya wavuvi (FUO) mkoani hapa, imeiomba serikali kuzuia matumizi ya taa za kuvua dagaa zilizotengenezwa kienyeji, kwani…

Soma Zaidi »

Samia amteua Wassira Mwenyekiti wa Bodi MNMA

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hasaan amemteua Stephen Wassira kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere…

Soma Zaidi »

Waziri Mkuu akagua miradi Itilima

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa shule ya sekondari ya Njalu katika Kijiji cha Kimali, Kata ya Nyamalapa, wilayani…

Soma Zaidi »

Serikali ya wanafunzi OUT yapongezwa

CHUO  Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kimeipongeza serikali ya wanafunzi chuoni hapo kwa kutumia zaidi ya sh milioni 60 kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button