Maisha ya Vijijini

Wananchi kunufaika na mradi wa maji Muheza

WANANCHI takribani 3,700 katika vijiji vya Mbobole na Sakale wilayani Muheza mkoani Tanga watanufaika na mradi wa maji safi wenye…

Soma Zaidi »

Mume anataka watoto 10, mke amefikisha nusu amechoka kuzaa!

JOSEPHINE Mlay (sio jina lake halisi), mkazi wa Kijiji cha Songambele kilichopo Wilaya ya Mlele mkoani Katavi, anasema hajui maisha…

Soma Zaidi »

Dk Biteko: REA pelekeni huduma vijijini

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Dotto Biteko ameagiza watendaji wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA) kujikita zaidi…

Soma Zaidi »

Vijiji vyote Mtwara kuwa na umeme

MTWARA; SERIKALI imesema hadi kufikia Desemba 2023 vijiji vyote 758 mkoani Mtwara vitakuwa vimepata umeme. Akizungumza mkoani Mtwara, Naibu Waziri…

Soma Zaidi »

Chagulaga inavyoongezewa ‘glasi’, jamii inateketea

“SAMAHANI Waiter ongeza glass Eh muhudumu ongeza glass Mmhh Samahani Waiter ongeza glass Eh muhudumu ongeza glass. “Acha nilewe nilewe…

Soma Zaidi »

Vita ya Urusi ‘ilivyomhamishia’ raia wa Ukraine kijijini Kizimkazi-Unguja  

Kizimkazi ni kijiji kilichopo katika Kata ya Kizimkazi Mkunguni, takribani 56 kutoka Mjini Unguja, Zanzibar. Wenyeji wa eneo hili, lenye…

Soma Zaidi »

Wananchi Manyire waungana ujenzi wa barabara

WANANCHI wa vitongoji vinne katika kijiji cha Manyire kata ya Mlangarini wilayani Arumeru mkoani Arusha wameamua kujitolea kutengeneza barabara baada…

Soma Zaidi »

Usimamizi mradi wa mazingira wamchefua DC Tanganyika

MKUU wa Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi, Onesmo Buswelu, ameeleza kutoridhishwa na usimamizi wa mradi wa mazingira unaotekelezwa wilayani humo…

Soma Zaidi »

Wanakijiji walalamikia kutumia maji ya madimbwi

WAKAZI wa vijiji vya Butini na Kidanda, Kata ya Itwangi, Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wamelalamikia kukosa huduma ya maji…

Soma Zaidi »

Muuaji, mbakaji wa A. Kusini arudishwa kwao

MHALIFU wa makosa ya ubakaji na mauaji raia wa Afrika Kusini aliyetoroka gerezani na kukamatwa jijini Arusha wiki iliyopita, amesafirishwa…

Soma Zaidi »
Back to top button