Utalii

Kairuki kuwafungulia fursa wanakilimanjaro

KILIMANJARO: WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Angela Kairuki anatarajia kuzindua programu maalum ya ‘Homestay’ inayotoa fursa kwa wananchi wa Kilimanjaro…

Soma Zaidi »

Kitandula kushushudia shindano la kutangaza utalii Lushoto

TANGA: Naibu Waziri wa maliasili na utalii, Dastun Kitandula anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mashindano ya Magamba Walkthon and Adventure.…

Soma Zaidi »

Kairuki azindua kamati ya kitaifa kuongoa shoroba

DAR ES SALAAM: Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki amezindua Kamati ya Kitaifa ya kuongoa shoroba za wanyama pori…

Soma Zaidi »

Tennis yaipamba Hifadhi ya Serengeti

SERENGETI: MCHEZA Tennis mashuhuri duniani, John McEnroe, ameshinda kwa mara ya kwanza mchezo maalum wa Tennis Serengeti baada ya kumpiku…

Soma Zaidi »

TTB yaja kivingine sikukuu za mwisho wa mwaka

DAR ES SALAAM: Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) ikishirikiana na wadau wa utalii imekuja na programu maalum ya kuhamasisha utalii…

Soma Zaidi »

Chato utalii festival kunogesha sekta ya utalii

KUTOKANA na tafiti mbalimbali zilizofanyika Tanzania, utalii ni sekta ambayo ina nguvu ya uzalendo, amani na utajiri ambao ni zawadi…

Soma Zaidi »

The Grand Kagera kuifungua Kagera

KAGERA: Wasanii wa Filamu ,viongozi wa serikali na wadau mbalimbali wa utalii zaidi ya 100 wanatarajia kufanya ziara ya kitalii…

Soma Zaidi »

Mabondia wajitosa kutangaza utalii

DAR ES SALAAM: WACHEZAJI wa Masubwi wameingia rasmi kutangaza utalii kupitia mchezo wa ngumi kupitia Pambano la ‘sisi kwa sisi’…

Soma Zaidi »

Mabalozi Norway, Uswisi kushuhudia tamasha Mtwara

MTWARA: MABALOZI wa Norway na Uswisi nchini Tanzania, wanatarajiwa kuhudhuria tamasha la ngome za asili za makabila yanayoishi mkoani Mtwara.…

Soma Zaidi »

Watalii kutoka Denmark wajinafasi ofisi za TSN Mwanza

MWANZA; Watalii kutoka nchini Denmark wako jijini Mwanza, Tanzania, kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii wilayani Ukerewe. Kabla ya kuelekea Ukerewe…

Soma Zaidi »
Back to top button