Zanzibar

Uzalishaji samaki waongezeka Zanzibar

ZANZIBAR: WIZARA ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi inaendelea kuwezesha wajasiriamali na wananchi kwa kuwapatia elimu, uelewa na ufahamu katika…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi: Lengo ni kuwa na mji wa kisasa

ZANZIBAR: RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imeanza ujenzi wa maduka ya…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi: Tumejipanga kuimarisha maadili, haki za binadamu

ZANZIBAR: RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema serikali imejipanga vema kuimarisha maadili, haki…

Soma Zaidi »

Nyumba za utamaduni wa Zanzibar kujengwa Kijiji cha Makumbusho

DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Kamati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar inayosimamia Utalii, Biashara na Kilimo, Mtumwa Pea Yusuph amesema…

Soma Zaidi »

Mjumbe UNDP afika Ikulu Z’bar kujitambulisha

ZANZIBAR: RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amekutana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa…

Soma Zaidi »

Wajumbe Baraza la Wawakilishi wazuru TCRA kujifunza

DAR ES SALAAM: WAJUMBE saba wa Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar wametembelea makao makuu…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi afanya uteuzi wa viongozi

ZANZIBAR: RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi ameteua viongozi mbalimbali Amemteua Ayoub Mohamed…

Soma Zaidi »

“Ni wakati wa kupambana na waghushi nyaraka”

KAMISHNA wa Jeshi la Polisi, Zanzibar Hamad Khamis Hamad amesema kughushi nyaraka za miradi mbalimbali katika taasisi za serikali na…

Soma Zaidi »

Katibu Mkuu UVCCM ziarani Zanzibar

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana  wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Fakii Lulandala amewasili visiwani Zanzibar na…

Soma Zaidi »

Lulandala agawa baiskeli kwa mabalozi Jimbo la Chakwa

ZANZIBAR; BAISKELI 180 zimegawanywa kwa mabalozi wa nyumba 10 wa Jimbo la Chakwa, Wilaya ya Kati, Zanzibar. Katibu Mkuu wa…

Soma Zaidi »
Back to top button