Zanzibar

Dk Mwinyi: Kongole Vikosi vya SMZ

ZANZIBAR: RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amevipongeza vikosi vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kwa kazi kubwa…

Soma Zaidi »

Fatma Karume: Muungano haujaathiri Wazanzibari

MJANE wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Karume, Fatma Karume amesema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haujawaathiri Wazanzibari. Alisema…

Soma Zaidi »

Nzi wakwamisha biashara ya embe

ZANZIBAR; WIZARA ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo imesema inaendelea na utafiti wa wadudu akiwamo nzi ambao wamekuwa wakishambulia mazao…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi awafariji kifo cha aliyeshiriki Muungano

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapimduzi Dk Hussein Ali Mwinyi, ametoa salamu za pole kwa familia, ndugu…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi ateua Mwenyekiti,  Wajumbe Tume ya Uchaguzi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi ameteua Mwenyekiti na wajumbe sita wa Tume…

Soma Zaidi »

MKUTANO WA TGS: Ajenda ya uchumi wa buluu yamkosha Katibu Mkuu Kiongozi

ZANZIBAR KATIBU Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Mhandisi Zena Ahmed Said ameipongeza Jumuiya ya Wajiolojia nchini (TGS)…

Soma Zaidi »

Wanajiolojia kukutana Zanzibar kujadili uchumi wa buluu

ZANZIBAR ZAIDI ya wanajiolojia 300 kutoka ndani na nje ya Tanzania wanatarajiwa kukutana Zanzibar kujadili masuala mbalimbali ikiwemo mchango wa…

Soma Zaidi »

SMZ kulinda urithi wa hifadhi Mji Mkongwe

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema serikali yake inaendelea kulinda urithi wa hifadhi ya kimataifa ya Mji Mkongwe kwa…

Soma Zaidi »

Tanzania, Zanzibar zasaini hati tano za makubaliano

WAZIRI  wa Madini, DkDoto Biteko ameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano kati ya Wizara ya Madini ya Serikali ya…

Soma Zaidi »

Vita ya Urusi ‘ilivyomhamishia’ raia wa Ukraine kijijini Kizimkazi-Unguja  

Kizimkazi ni kijiji kilichopo katika Kata ya Kizimkazi Mkunguni, takribani 56 kutoka Mjini Unguja, Zanzibar. Wenyeji wa eneo hili, lenye…

Soma Zaidi »
Back to top button