Zanzibar

Dk Mwinyi afanya uteuzi Wizara ya Maendeleo ya Jamii

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi amemteua Salum Khamis Rashid kuwa Mkurugenzi wa Idara…

Soma Zaidi »

Mishahara ilipwe kabla ya Eid El Fitr

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi ameagiza malipo ya mishahara ya mwezi huu kufanyika…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi ataka jamii isaidie wasiojiweza

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema jukumu la kuwasaidia watu na makundi yenye uhitaji ni la jamii nzima na…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi ampongeza Samia Tume Haki jinai

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi amempongeza na kumshukuru Rais wa Tanzania, Dk…

Soma Zaidi »

Zanzibar wajipanga kutumia vyema fedha za ‘Heshimu bahari’

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imejipanga vizuri kutumia fedha za mradi wa ‘Heshimu bahari’ unaofadhiliwa na Serikali ya…

Soma Zaidi »

Wadakwa ‘gesti’ wakiwa na meno ya tembo 45

JESHI la Polisi Zanzibar linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kukamatwa na meno ya tembo vipande 45 katika nyumba ya…

Soma Zaidi »

Rais Mwinyi kuwachukulia hatua viongozi wazembe SNR

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema baadhi ya viongozi wa umma wasiotaka…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi apongezwa nia kubinafsisha mashirika

WADAU wa sekta binafsi na wachumi wamesema Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ana lengo sahihi kutaka kuyakabidhi mashirika ya…

Soma Zaidi »

Rais Mwinyi asema mji Mkongwe utabaki kama ulivyo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi amesema dhamira ya serikali ni kuhakikisha Mji…

Soma Zaidi »

SMZ yapiga marufuku usafirishaji vyakula nje ya Zanzibar

WAKATI Waislamu wakijiandaa na mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unaotarajiwa kuanza wiki ijayo, Wizara ya Biashara na Maendeleo ya…

Soma Zaidi »
Back to top button