Zanzibar

Watakiwa kuchangamkia fursa mafunzo ya ufundi

VIJANA kutoka kaya maskini wanaoishi katika mazingira magumu nchini, wameshauriwa kuchangamkia fursa za mafunzo ya kukuza na kuendeleza ujuzi yanayotelewa…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi ataka ufanisi Uwanja Ndege Z’bar

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amewaagiza watendaji wa Serikali wanaohudumu Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani…

Soma Zaidi »

Wapongeza huduma matibabu ya moyo Zanzibar

WAKAZI wa Zanzibar wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea huduma ya upimaji na matibabu ya moyo kwa watoto na watu wazima, inayotolewa…

Soma Zaidi »

Pipi ‘utamu’ marufuku Zanzibar

MAMLAKA ya Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imepiga marufuku bidhaa aina ya Lump Sugar maarufu ‘Vipipi utamu’  vinavyodaiwa kutumiwa na…

Soma Zaidi »

‘Uvamizi wa maeneo umechangia migogoro ya ardhi Z’bar’

WAZIRI wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Zanzibar, Rahma Kassim Ali, amesema kuwa tabia za uvamizi na uuzaji holela wa…

Soma Zaidi »

‘Polisi isibague wafupi katika ajira’

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umemwomba Rais Samia Suluhu Hassan Jeshi la Polisi lisiwabague watu wafupi katika…

Soma Zaidi »

‘Vijana ni nguzo muhimu maendeleo ya uchumi’

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kushirikiana na vijana katika  kufanya kazi za ujenzi wa maendeleo ya taifa…

Soma Zaidi »

Sherehe miaka 59 ya Mapinduzi zafutwa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amefuta sherehe za Mapinduzi na  kuelekeza  fedha …

Soma Zaidi »

SMZ kushirikiana na SADC uboreshaji wa mawasiliano

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema Tanzania itashirikiana na nchi nyingine za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuboresha…

Soma Zaidi »

Miradi ya tril 7.127/- yasajiliwa Zanzibar

KATIKA kipindi cha miaka miwili, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) chini ya uongozi wa Dk Hussein Mwinyi, imefanikiwa kusajili miradi…

Soma Zaidi »
Back to top button