Zanzibar

‘Uvamizi wa maeneo umechangia migogoro ya ardhi Z’bar’

WAZIRI wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Zanzibar, Rahma Kassim Ali, amesema kuwa tabia za uvamizi na uuzaji holela wa…

Soma Zaidi »

‘Polisi isibague wafupi katika ajira’

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umemwomba Rais Samia Suluhu Hassan Jeshi la Polisi lisiwabague watu wafupi katika…

Soma Zaidi »

‘Vijana ni nguzo muhimu maendeleo ya uchumi’

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kushirikiana na vijana katika  kufanya kazi za ujenzi wa maendeleo ya taifa…

Soma Zaidi »

Sherehe miaka 59 ya Mapinduzi zafutwa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amefuta sherehe za Mapinduzi na  kuelekeza  fedha …

Soma Zaidi »

SMZ kushirikiana na SADC uboreshaji wa mawasiliano

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema Tanzania itashirikiana na nchi nyingine za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuboresha…

Soma Zaidi »

Miradi ya tril 7.127/- yasajiliwa Zanzibar

KATIKA kipindi cha miaka miwili, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) chini ya uongozi wa Dk Hussein Mwinyi, imefanikiwa kusajili miradi…

Soma Zaidi »

Zanzibar kuna watu 1,889,773

WAKATI idadi ya Watanzania wote ni 61,741,120, Zanzibar kuna watu 1,889,773 Hayo yamebainishwa na Rais Samia Suluhu Hassan, muda mfupi…

Soma Zaidi »

Watakiwa kusimamisha ujenzi Tunguu

WAZIRI wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Zanzibar, Rahma Kassim Ali, amewataka wote walivamia eneo la Serikali, liliopo Tunguu Mkoa…

Soma Zaidi »

Maandalizi Siku ya Chakula yanoga Pemba

WAZIRI wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar, Shamata Shaame, amesema maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani itakayoadhishwa…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi aagiza mabalozi fursa za uchumi

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewataka mabalozi walioteuliwa hivi karibuni kuiwakilisha Tanzania katika nchi za Zimbabwe, Zambia na Uholanzi,…

Soma Zaidi »
Back to top button