Year: 2022

Kanda

Aagiza wakulima wote waandikishwe mbolea za ruzuku

MKUU wa Wilaya ya Tanganyika, Onesmo Buswelu amewaagiza maofisa ugani, watendaji wa vijiji na viongozi wote wilayani humo, kuhakikisha ndani…

Soma Zaidi »
Jamii

Wagomea shule kisa ugomvi wa baba, Mwalimu Mkuu

WANAFUNZI watatu wa familia moja, ambao wanasoma  shule ya Msingi Makote wilaya ya Newala, mkoani Mtwara, wamelazimika kukaa nyumbani kwa…

Soma Zaidi »
Kanda

Wakulima wa kahawa waahidiwa raha

NAIBU Waziri wa Kilimo, Antony Mavunde, amewahakikisha wakulima wa kahawa  mkoani Kagera kuwa, serikali itaendelea kuwasimamia  maofisa ugani kutoa huduma…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Serengeti Girls wamepambana!

TIMU ya Taifa ya soka ya wasichana chini ya umri wa miaka 17, ‘Serengeti Girls’  imeshindwa kutinga Nusu Fainali ya…

Soma Zaidi »
Sanaa

Tamasha la Masai laja

TAASISI ya Masai Festival, imeandaa tamasha lenye kujumuisha jamii ya Wamasai, lengo likiwa ni kupongeza juhudi zinazofanywa na Rais Samia…

Soma Zaidi »
Jamii

Msikimbilie kujifungua kwa upasuaji-Daktari

WANAWAKE wanaopata ujauzito mkoani Morogoro wameshauriwa wasiogope kujifungua kwa njia ya kawaida isipokuwa inapolazimu kujifungua kwa njia ya upasuaji. Hospitali…

Soma Zaidi »
Tanzania

Sheria zinazoratibu uhuru wa habari ziboreshwe

KIKOSI Kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi kimependekeza sheria zinazoratibu uhuru wa habari ziboreshwe kukuza…

Soma Zaidi »
Siasa

Uwepo mjadala kitaifa kabla ya Katiba mpya

KIKOSI Kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi kilichoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kimependekeza kuwepo…

Soma Zaidi »
Siasa

‘Matokeo urais yahojiwe mahakama ya juu’

IMEPENDEKEZWA matokeo ya uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na utendaji wa Tume ya Taifa ya…

Soma Zaidi »
Siasa

Vikosi kazi zaidi kuundwa

RAIS Samia Suluhu Hassan amepokea ripoti ya Kikosi Kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi yenye…

Soma Zaidi »
Back to top button