Year: 2022

Tanzania

Laini za zimu zafikia milioni 58 Tanzania

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imesema kuna ongezeko la asilimia 3.4 ya laini za simu, huku matumizi ya huduma za…

Soma Zaidi »
Kanda

‘Kaizirege, Kemebosi zingatieni maadili mzidi kung’ara’

ASKOFU Msaidizi Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini amesema shule za Kemebosi na Kaizirege zimeleta zimeleta ushindani mkubwa na kuwa kielezo…

Soma Zaidi »
Kanda

RC Mongella atoa miezi 2 ujenzi wa shule

MKUU wa Mkoa Arusha, John Mongella, ametoa miezi miwili  kwa Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya  Meru, Zainabu Makwinya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Filamu zilizoshinda ZIFF kuoneshwa Dar, Iringa

FILAMU 11 zilizoshinda katika tamasha la filamu la nchi za majahazi ( ZIFF), zinatarajiwa kuoneshwa Tanzania Bara kuanzia Novemba 27…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Samia ampongeza Rais wa China

RAIS Samia Suluhu Hassan amempongeza Rais wa China, Xi Jinping kwa kuchaguliwa tena kuendelea kuwa Katibu Mkuu wa Kamati Kuu…

Soma Zaidi »
Biashara

Serikali yapewa mbinu kuteka soko DRC

WACHAMBUZI wa masuala ya diplomasia na uchumi wameishauri serikali iweke mikakati ya kunufaika na soko la dhahabu katika Jamhuri ya…

Soma Zaidi »
Jamii

Anayedaiwa kuua mke asomewa mashitaka mapya

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imempandisha kizimbani na kumsomea upya mashitaka ya mauaji mfanyabiashara Khamis Luwonga. Awali,…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Balozi Mbega: Serengeti Girls imetoka kishujaa

BALOZI wa Tanzania nchini India, Anisa Mbega amesema licha ya Serengeti Girls kutolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia kwa…

Soma Zaidi »
Infographics

OMBI: Wauza vifaranga waiomba Serikali kusitisha uingizaji kulinda soko

KATIKA kulinda soko la ndani wazalishaji, wafugaji na wauzaji wa vifaranga wa kuku wa nyama wameiomba Serikali kusitisha uingizaji wa…

Soma Zaidi »
Utalii

‘Sekta binafsi kichocheo kuimarisha utalii’

MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango, amesema serikali inatambua umuhimu wa sekta binafsi kama kichocheo cha kuimarisha sekta ya utalii…

Soma Zaidi »
Back to top button