Year: 2022

Jamii

Mjane wa Mengi agonga mwamba matunzo ya watoto

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupa rufaa ya mjane wa aliyekuwa Mwenyekiti wa kampuni za IPP, Reginald Mengi,…

Soma Zaidi »
Podcast

HABARI KUU: OKTOBA 25, 2022

Mkusanyiko wa habari Kuu zilizojiri leo Oktoba 25, 2022

Soma Zaidi »
Asia

 Waziri Mkuu atembelea eneo yanapojengwa mabehewa ya SGR

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maendeleo na kasi ya ujenzi wa mabehewa mapya kwa ajili Reli ya Kisasa…

Soma Zaidi »
Biashara

‘Tunafuatilia bei ya korosho soko la dunia’

BODI ya Korosho nchini (CBT), imesema inaendelea kufuatilia mwenendo wa bei ya korosho soko la dunia na kutoa taarifa, ili…

Soma Zaidi »
Kanda

Ukame kuathiri halmashauri  6 Tanga

HALMASHAURI sita za mkoa wa Tanga, zipo hatarini kukabiliwa na upungufu wa chakula na maji kutokana na hali ya ukame…

Soma Zaidi »
Jamii

Mgao wa maji Dar, Pwani watangazwa

SERIKALI imetangaza mgao wa maji kwa wakazi wa Dar es Salaam na Pwani kwa sababu za kupungua kwa vyanzo vya…

Soma Zaidi »
Jamii

Auawa baada ya kukataa kulipia mayai aliyokula

WATU watatu wamefariki dunia katika matukio tofauti mkoani Mtwara, akiwemo mmoja aliyeuliwa kwa tuhuma za kula mayai ya biashara na…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Watakiwa kutoa ushauri wa kisayansi

WATAALAMU na watafiti wa bioteknolojia nchini, wametakiwa kutoa ushauri wa kisayansi wenye tija kwa serikali. Waziri wa Nchi Ofisi ya…

Soma Zaidi »
Jamii

Wauza maeneo waliyolipwa fidia

MKUU wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA), Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, Joshua Matagane, amewaonya wananchi wa Kata ya Shanwe,…

Soma Zaidi »
Jamii

Mapya yaibuka mwanafunzi aliyebadilishiwa namba ya mtihani

SERIKALI imetangaza kuifungia shule ya Msingi Chalinze Modern Islamic kuwa kituo cha mitihani kwa muda usiojulikana. Shule hiyo imefungiwa kutokana…

Soma Zaidi »
Back to top button