Year: 2022

Sayansi & Teknolojia

Kusambaza taarifa za uongo faini Sh mil 5.8

Kichakataji cha malipo – PayPal kimewaonya watumiaji kuwa kueneza habari potofu kutakuwa kosa linalostahili adhabu chini ya sheria na masharti…

Soma Zaidi »
Kanda

Ruto kuzuru Tanzania baada ya Ethiopia, Uganda

RAIS wa Kenya Dk William Ruto anatarajiwa kuwasili nchini saa tisa alasiri kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Ruto…

Soma Zaidi »
Asia

Putin ataka zaidi kutoka nchi za Magharibi

RAIS wa Urusi Vladimir Putin anataka kufanya “mapatano mapya na makubwa” na nchi za Magharibi ili kufuta fedheha ya kipindi…

Soma Zaidi »
Uchumi

Serikali kutathmini gharama ya vyakula sokoni

SERIKALI imeweka wazi kuwa inatambua mwenendo wa gharama ya chakula sokoni na hivyo inaendelea kufanya tathmini kupata uhalisia wa kiwango…

Soma Zaidi »
Afya

Maambukizi Covid-19 yapungua kwa 18.4%

MAAMBUZIKI ya ugonjwa wa Covid-19 yamepungua kwa asilimia 18.4 katika kipindi cha Agosti 26 hadi Oktoba 7, mwaka huu. Hayo…

Soma Zaidi »
Uchumi

Taasisi za serikali zabanwa ukusanyaji mapato

SERIKALI imezitaka wizara, idara zinazojitegemea na taasisi za serikali zinazokusanya mapato yasiyo ya kodi, kuongeza juhudi katika ukusanyaji wa mapato…

Soma Zaidi »
Infographics

Latra yataka watumiaji reli kuzingatia usalama

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Makame Mbarawa anatarajiwa kuzindua wiki ya usalama wa reli nchini iliyoanza jana hadi Oktoba 16,…

Soma Zaidi »
Uchumi

Bil 90/- kunufaisha wakulima wa korosho

SERIKALI imetoa Sh bilioni 90 kwa ajili ya kutoa ruzuku ya viuatilifu kwa ajili ya wakulima wa korosho katika msimu…

Soma Zaidi »
Afya

Watu mil 7 waishi na magonjwa ya akili

TANZANIA inakadiriwa kuwa na takribani watu milioni saba wanaoishi na magonjwa ya akili. Hayo yamo kwenye taarifa ya Waziri wa…

Soma Zaidi »
Biashara

Singida, Tabora, Shinyanga waita wawekezaji

MIKOA ya Singida, Tabora na Shinyanga imebainisha fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta za viwanda, kilimo, mifugo, asali, madini, afya,…

Soma Zaidi »
Back to top button