Year: 2022

Amerika

Trump aiburuza kortini CNN, adai fidia ya Sh tril 1.11

RAIS wa zamani wa Marekani Donald Trump amekishtaki kituo cha habari cha CNN akidai fidia ya dola milioni 475 (Sh…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Mgomo Total waendelea siku ya Saba

MGOMO katika kampuni ya nishati ya Ufaransa ya TotalEnergies umeendelea kwa siku ya saba, na kutatiza ugavi wa nishati ambao…

Soma Zaidi »
Kanda

Mpanda kujenga madarasa 51 sekondari

HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda, mkoani Katavi, imepokea kiasi cha Sh bilioni 1.02, kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya…

Soma Zaidi »
Asia

Urusi yaidhinisha muungano na mikoa minne ya Ukraine

BARAZA la juu la bunge la Urusi, limeidhinisha mikataba ya muungano na Jamhuri za Watu wa Donetsk na Lugansk na…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Filamu yachangia ajira 30,000 kwa mwaka

SEKTA ya filamu imeweza kuchangia ajira takribani 30,000 ndani ya mwaka mmoja wa 2021, huku uwekezaji katika sekta hiyo ukizidi…

Soma Zaidi »
Jamii

Simiyu kamili maadhimisho Wiki ya Chakula

MKOA wa Simiyu unatarajiwa kuwa mwenyeji wa maadhimisho ya Wiki ya Chakula Duniani, yanayotarajiwa kufanyika kitaifa mkoani humo kuanzia Oktoba…

Soma Zaidi »
Jamii

Darasa la saba 1,384,340 kuanza mitihani kesho 

JUMLA ya watahiniwa 1,384,340 wanaanza kufanya mtihani wa darasa la saba Tanzania Bara kwa siku mbili kuanzia kesho. Kaimu Katibu…

Soma Zaidi »
Biashara

Makusanyo ya kodi Geita yaimarika

MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) mkoani Geita, imesema makusanyo ya kodi mkoani hapa yameimarika kwa asilimia 67.53 kwa robo ya…

Soma Zaidi »
Kanda

Wateja 7,000 Tanesco bado kuunganishiwa umeme

SHIRIKA la Umeme nchini (Tanesco), limesema ni wateja 7,000 tu, ambao bado hawajaunganishiwa umeme kati ya wateja karibia 100,000 waliokuwa…

Soma Zaidi »
Dodoma

Wizara yaongeza siku malalamiko ya ardhi

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeongeza siku tatu za kusikiliza changamoto mbalimbali za ardhi  katika jiji la…

Soma Zaidi »
Back to top button