Year: 2022

Afya

WHO yaombwa kusaidia mapambano dhidi ya Ebola

ILI kukabiliana na viashiria vya ugonjwa wa Ebola, Serikali ya Tanzania imeomba  msaada wa rasilimali fedha kwa Shirika la Afya…

Soma Zaidi »
Kanda

Polisi yashikilia wawili mauaji ya mtoto Bukoba

POLISI mkoani Kagera inawashikilia watu wawili wakazi wa Bukoba kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wa miaka mitatu mkazi wa…

Soma Zaidi »
Kanda

Zumaridi ana kesi ya kujibu, kuanza kujitetea Oktoba 17

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoani Mwanza imesema kiongozi wa kidini, Diana Bundala maarufu kwa jina na Mfalme Zumaridi na wenzake…

Soma Zaidi »
Madini

Bei ya mafuta yashuka Tanzania

SERIKALI imeidhinisha kiasi cha Sh bilioni 59.58 cha ruzuku ya mafuta kwa mwezi Oktoba ambapo sasa bei ya lita ya…

Soma Zaidi »
Africa

Serikali ya Uganda yajitenga na ‘utashi’ wa mtoto wa Museveni

UGANDA imejitenga na kauli za mtandaoni za mtoto wa Rais Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba kuhusu uwezo wake kuiteka Nairobi ndani…

Soma Zaidi »
Biashara

Waaswa kukomesha migogoro wachimbaji wadogo, wawekezaji

WAZIRI wa Madini, Dk Doto Biteko, amewaasa wanajiolojia kuacha tabia ya kuleta migogoro, baina ya wawekezaji na wachimbaji wadogo wa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

RC Mtwara aipongeza JWTZ kung’ara kikapu kimataifa

MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Ahmed Abbas, amepongeza timu ya wanaume ya kikapu ya JWTZ kwa kuwa miongoni mwa…

Soma Zaidi »
Afya

Wafanyakazi TANESCO wachangia damu Mtwara

WAFANYAKAZI wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO), kwa kushirikiana na wananchi wengine mkoani Mtwara, leo wamejitolea damu kwa ajili ya…

Soma Zaidi »
Podcast

HABARI KUU: Oktoba 04, 2022

Mkusanyiko wa Habari Kuu kutoka chumba cha HabariLEO jijini Dar es Salaam leo Oktoba 04, 2022 jioni.

Soma Zaidi »
Afya

Mipaka isiyo rasmi Kagera changamoto udhibiti Ebola

CHANGAMOTO ya mipaka isiyo rasmi zaidi ya 1,000 katika Mkoa wa Kagera,  inaiweka rehani Tanzania kupata mlipuko wà ugonjwa wa…

Soma Zaidi »
Back to top button