Year: 2022

Tanzania

CWT yashauri ajira zaidi kwa walimu

CHAMA Cha Walimu Tanzania (CWT) kimeiomba serikali iendelee kuajiri walimu ili kuwe na uwiano wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi 45…

Soma Zaidi »
Uwekezajia

Akaribisha kampuni za bima za India kuwekeza

BALOZI wa India nchini , Binaya Pradhan amezitaka kampuni zinazotoa huduma za bima kuwekeza Tanzania, kwa kuwa kuna fursa nyingi…

Soma Zaidi »
Tanzania

DC apongeza mgodi kuwajali wafanyakazi

MKUU wa Wilaya ya Tarime, Michael Mntenjele ameeleza kufurahishwa na namna mgodi wa dhahabu wa Barrick North Mara unavyojali familia…

Soma Zaidi »
Afya

TBS yakumbusha kuepuka vipodozi vyenye sumu   

WATANZANIA wameshauriwa kuepuka matumizi ya vipodozi vyenye viambata sumu ambavyo vimepigwa marufuku kutumika nchini kutokana na kusababisha madhara ya kiafya…

Soma Zaidi »
Siasa

CCM mguu sawa uchaguzi Kata Saba

WAKATI wananchi katika Jimbo la Amani, Zanzibar na kata saba zilizopo kwenye mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara, kesho wakipiga kura…

Soma Zaidi »
Uchumi

Daraja la Kutengule mkombozi uzalishaji sukari

SERIKALI  imesema kukamilika kwa ujenzi wa barabara unganishi zenye urefu wa kilometa 18 na Daraja la Kitengule lenye urefu wa…

Soma Zaidi »
Jamii

Jamii yahimizwa kupaza sauti vitendo vya ukatili

KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu ameitaka jamii, wadau na kila mmoja kwa…

Soma Zaidi »
Jamii

Asas ajiunga rasmi Red Cross

MFANYABIASHARA  na mmiliki wa kampuni za ASAS Group, Salim Abri (ASAS) amejiunga rasmi na uanachama wa maisha  wa Shirika la…

Soma Zaidi »
Siasa

Wapiga kura 114,647 kushiriki uchaguzi mdogo

JUMLA ya Wapiga Kura 114,647 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi mdogo wa Ubunge…

Soma Zaidi »
Kanda

Vyuo vyatakiwa kuweka mkazo mafunzo kwa vitendo

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba, amesema mafunzo kwa vitendo bado hayajapewa kipaumbele cha kutosha katika vyuo mbalimbali…

Soma Zaidi »
Back to top button