Year: 2022

Michezo na Burudani

Moni: Nahisi kukata tamaa

MSANII wa Hiphop Moni Centrozone ameeleza hisia za kufikia hatua ya kukata tamaa kutokana na changamoto anazopitia ikiwemo kutosaidiwa kimuziki…

Soma Zaidi »
Infographics

Serikali kuchukua hatua dhidi ya biashara za watoto

SERIKALI imesema itachukua hatua kali za kisheria kwa mashirika binafsi yaliyopewa dhamana katika uendeshaji wa makao ya watoto ,na nyumba…

Soma Zaidi »
Jamii

Serikali yaombwa mkazo ndoa za utotoni

MTANDAO wa Kutokomeza Ndoa za Utotoni Tanzania (TECMN),umeiomba serikali kuangalia uwezekano utakaozingatiwa na mapendekezo ya kamati ya wataalamu wa haki…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Morocco yaweka rekodi nusu fainali ya kwanza Afrika

Morocco imeweka rekodi kwa mara ya kwanza ya kuwa timu pekee kutoka Afrika kuingia hatua ya nusu fainali ya Kombe…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Sababu za Barbara kujiuzulu Simba SC

Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Barbara Gonzalez leo ameandika barua ya kujiuzulu wadhifa wake kama Afisa Mtendaji Mkuu wa timu…

Soma Zaidi »
Infographics

Mwigizaji Ruth Madoc afariki dunia

Mwigizaji na msanii wa muziki Ruth Madoc amefariki akiwa na umri wa miaka 79, wakala wake amethibitisha katika taarifa yake.…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Yanga yamteua Nkoma kuifundisha Princess

Uongozi wa klabu ya Yanga umemtangaza Sebastian Nkoma kuwa kocha wa timu yao ya Wanawake ya Yanga Princess akilamba mkataba…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

TOC yaanza mikakati ya Olimpiki Paris

KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC), imesema kuwa inaanza maandalizi mapema ili kuiwezesha Tanzania kupata medali katika Michezo ya Olimpiki ya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

TSN yaibamiza Mwananchi

TIMU ya soka ya Kampuni hyaTanzania Standard News Papers (TSN), imeifunga bao 1-0 timu ya Mwananchi katika mchezo wa bonanza…

Soma Zaidi »
Sanaa

Mbunifu wa mavazi awa kivutio jukwaani

MBUNIFU wa mavazi mahiri nchini, Kiki Zimba amekuwa gumzo kwenye Onesho la Mitindo la Swahili Fashion 2022 hasa kutokana na…

Soma Zaidi »
Back to top button